• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MAFUNZO KWA VIONGOZI WA NGAZI ZA WILAYA, MKOA WA KAGERA

Sunday 26th, March 2023
@



Katika  kutambua dhana na umuhimu wa Utawala Bora Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wameandaa na kuratibu mafunzo yenye malengo ya kuendelea kuwajengea uwezo, kuboresha masuala yanayohusu uongozi na kuimarisha utawala Bora kwa Viongozi wa ngazi za Wilaya, Mkoa wa Kagera.

Mafunzo hayo yanaendeshwa na Chuo cha Uongozi cha Dar es salaam na washiriki wa mafunzo haya ni wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa wilaya, Wenyeviti wa Halmashauri na Wakurugenzi kutoka katika Halmashauri zote za Mkoa wa Kagera.

Kwa upande wa Wilaya ya Muleba, mafunzo hayo yamehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mhe. Toba Nguvila, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, Mhe. Magongo Justus,Katibu Tawala wa wilaya ya Muleba, Ndg. Greyson Mwengu na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Ndg. Elias Kayandabila.

Ni Mafunzo ya Siku tatu Kuanzia tarehe 18-20/11/2021 na yanafanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera.

Imetolewa na:

Kitengo cha Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano  Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.


Matangazo ya kawaida

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA KUTWA,BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM 2023 December 14, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA KUTWA KIDATO CHA KWANZA December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DC AHIMIZA WANANCHI KULINDA NA KUTUNZA MIUNDOMBINU YA MAJI.

    March 22, 2023
  • RC, AAGIZA KUSIMAMIWA KWA MKANDARASI ANAYETEKELEZA MRADI WA MAJI WA KYAMYORWA

    March 11, 2023
  • OFISI YA MKURUGENZI YAAGIZWA KUWATAFTIA ENEO LITAKALOWAFAA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA KARIAKOO

    March 11, 2023
  • OFISI YA MKURUGENZI YAAGIZWA KUWATAFTIA ENEO LITAKALOWAFAA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA KARIAKOO

    March 11, 2023
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu: +255-756-350-183

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa