• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MAFUNZO KWA VIONGOZI WA NGAZI ZA WILAYA, MKOA WA KAGERA

Saturday 2nd, December 2023
@



Katika  kutambua dhana na umuhimu wa Utawala Bora Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wameandaa na kuratibu mafunzo yenye malengo ya kuendelea kuwajengea uwezo, kuboresha masuala yanayohusu uongozi na kuimarisha utawala Bora kwa Viongozi wa ngazi za Wilaya, Mkoa wa Kagera.

Mafunzo hayo yanaendeshwa na Chuo cha Uongozi cha Dar es salaam na washiriki wa mafunzo haya ni wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa wilaya, Wenyeviti wa Halmashauri na Wakurugenzi kutoka katika Halmashauri zote za Mkoa wa Kagera.

Kwa upande wa Wilaya ya Muleba, mafunzo hayo yamehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mhe. Toba Nguvila, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, Mhe. Magongo Justus,Katibu Tawala wa wilaya ya Muleba, Ndg. Greyson Mwengu na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Ndg. Elias Kayandabila.

Ni Mafunzo ya Siku tatu Kuanzia tarehe 18-20/11/2021 na yanafanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera.

Imetolewa na:

Kitengo cha Teknolojia ya Habari, Mawasiliano na Uhusiano  Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.


Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TIMU YA HALMASHAURI YAFANIKIWA KUREJESHA USHINDI WILAYANI MULEBA

    November 03, 2023
  • WANAOKWENDA KUSHIRIKI MICHEZO YA SHIMISEMITA WAHIMIZWA KWENDA KUSHIRIKI VYEMA MASHINDANO HAYO

    October 15, 2023
  • BARAZA LAPOKEA TAARIFA YA HESABU ZA MWISHO ZA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

    October 07, 2023
  • MKUU WA WILAYA AWAHIMIZA MADIWANI KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO ILI KUWEZA KULETA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    October 03, 2023
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu: 0769106793

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa