• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

Imewekwa : September 29th, 2024

Mwenge wa Uhuru 2024 katika Wilaya ya Muleba umepokelewa tarehe 29/09/2024 katika   kiwanda cha Samaki cha pride of Nile Limited kilichopo katika kata ya Izigo,ukitokea katika Manispaa ya Bukoba na kukagua Miradi mbali mbali ya Maendeleo katika sekta ya Elimu,Afya,Mazingira,Maji na Barabara yenye thamani ya shilingi Bil 8.1.

Miradi iliyotembelewa na mwenge wa uhuru   kwa mwaka 2024 ni Mradi wa Kiwanda cha samaki cha Pride of Nile Limited wenye thamani ya Shilingi Bil.5, Mradi wa Shamba la Kahawa la Vijana katika kijiji cha Makongora wenye thamani ya shilingi Mil 97.5, Mradi wa ujenzi Shule ya Sekondari Makongora iliyogarimu kiasi cha shilingi Mil. 643, Mradi wa Kitalu Cha Miti Mafumbo wenye thamani ya shilingi Mil. 550, Mradi wa kituo cha afya Buganguzi uliogarimu kiasi cha shilingi. Mil 309, Mradi wa tenki la maji Kishanda lililogarimu kiasi cha shilingi Bil 1.2, pamoja na ujenzi wa barabara ya Marahala-MSD yenye urefu wa Kilometa 0.4 uliogarimu kiasi cha shilingi Mil.193.

Akizungumza Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa Ndugu Godfrey Eliakimu Mzava, kwa nyakati tofauti baada ya kutembelea na kukagua miradi hiyo, amesema miradi yote ambayo imepitiwa na mwenge imetekelezwa kwa kiwango kinachoridhisha na kuwataka kuitunza miradi hiyo kwa manufaa ya Taifa endelevu.

Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa Ndugu Godfrey Mzava akiwa katika Kiwanda Cha Samaki Pride of Nile Limited ameutaka uongozi wa Kiwanda hicho kuhakikisha kabla ya mwaka huu kinaanza kutoa huduma kwa lengo la kuongeza mnyororo wa thamani wa zao la Samaki katika sekta ya uvuvi ili kuinua wananchi kiuchumi.

Aidha,Kiongozi wa mbio za mwenge akiwa katika shamba la Vijana la kahawa Makongora amempongeza Mkuu wa Mkoa Mhe.Hjjat Fatma Mwassa Kwa juhudi kubwa ya kutekeleza sera ya vijana kwa kuanzisha Mradi mkubwa wa Shamba wenye lengo la kutoa fursa za ajira kwa Vijana wa Muleba na kuchangia pato la Wilaya na Taifa.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 17-06-2025 June 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 07-05-2025 May 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa