• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

WAZEE WETU FAHARI YETU

Imewekwa : May 4th, 2018

Shirika la Wazee Nshamba limekuwa msaada mkubwa sana kwa wazee wa wilayani Muleba wenye umri wa kuanzia miaka 70 ambapo wazee hao wamekuwa wakipata huduma mbalimbali ikiwemo malipo ya Pensheni, Mazoezi ya viungo na huduma za kiafya.

Moja ya majukumu ya Shirika hili ni kuwa huduma wazee kiafya ambapo umpeleka Daktari katika maeneo yao kwa ajili ya kufanya uchunguzi na wagonjwa wanaobainika hupewa matibabu kulingana na matatizo wanayokutwa nayo ikiwemo kufanyiwa operesheni.

Dkt. Lwabukambwe Emmanuel, Daktari wa Macho katika hospitali ya Ndolage, iliyopo kata Kamachumu, Wilaya ya Muleba ameeleza kuwa Presha ya Macho, mtoto wa jicho na ukungu wa macho ni magonjwa yanayowakabili wazee wengi hivyo kushindwa kujitegemea/kujihudumia wenyewe. Baada ya kulitambua hilo Shirika la kwa Wazee Nshamba liliona umuhimu wa kuwahudumia wazee kwa kuwagharamia matibabu hayo ambapo hatua za awali madaktari wanakwenda katika kijiji husika na kufanya uchunguzi na vipimo, baada ya hapo wazee wanaogundulika na matatizo mbalimbali hupewa matibabu mbalimbali kama vile dawa, miwani na upasuaji.

"Mwanzoni huduma hii ilikuwa inatolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kupitia Idara ya Afya, kifungu cha mfuko wa" Basket Fund" lakini baada fedha hizi ziliachwa kutolewa na wafadhili ndipo Shirika la Wazee Nshamba liliona umuhimu wa kuendeleza huduma hii muhimu kwa wazee wetu" alieleza Dkt. Lwabukambwe Emmanuel.

Changamoto kubwa wanayokutana nayo wakati wa matibabu na wazee kuwa na magonjwa mengine kama Kisukari, matatizo ya moyo, mifupa na presha hivyo kuchukua muda mrefu kuwatibu lakini shirika limekuwa likiwadumia wazee hao kwa magonjwa yote wanayobainika kuwa nayo hadi wanapona au kupata nafuu.



Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 17-06-2025 June 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 07-05-2025 May 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa