• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

WAVUVI WILAYANI MULEBA WAUPOKEA MRADI WA UFADHILI WA TAA ZA NISHATI YA JUA

Imewekwa : August 30th, 2023

Shirika la (KOICA) kutokea Nchini Korea Kusini  lenye matawi yake Barani Afrika kwa kushirikiana shirika la  (LVRLAC) lililopo Mwanza wametoa ufadhili wa Taa kwa Wavuvi Wilayani Muleba ili kuweza kuwasaidia kuboresha shughuli zao za uvuvi pamoja na kuongeza pato lao.

Akizungumza katika hafra ya uzinduzi wa mradi huo Mkurugenzi wa Shirika la KOICA Mr.Shin amesema kuwa mradi huo wa Taa za nishati ya jua zitakazotumiwa na wavuvi umegharimu kiasi cha Tsh.milioni 29.7.

Aidha, amelipongeza shirika la (LVRLAC) kwa ushirikiano walioutoa kwa kuweza kutoa fedha zinazofikia kiasi cha dolla 2500 kwa ajili ya kupanga na kutekeleza mradi huo.

Kwa upande wake Mratibu wa Shirika la (KOICA) Kwang IK Park ameeleza kuwa alifanya utafiti na kuja na mbinu mpya ya kuweza kutunza na kulinda raslimali za ziwa kwa kutumia taa za nishati ya jua kufanya shughuli za uvuvi wa Dagaa.

"Matumiza ya taa za nishati ya jua zitasaidia katika uhifadhi wa ziwa na  kumnufaisha mvuvi kichumi kwa mda mrefu" amesema Kwang IK Park.

Naye Afisa Uvuvi wa Wilaya ya Muleba Ndg. Wilifred Tibendelana amewaeleza wavuvi kulilinda ziwa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha na uvuvi endelevu hasa kwa kulinda na kutunza ziwa bila  ya kujihusisha na Uvuvi haramu ambao unaweza kupelekea uharibifu wa ziwa jambo ambalo linaweza kusababisha kutokuwepo kwa uvuvi endelevu.

Ndg. Abel Costantine  ambaye ni mmoja Wa wavuvi wa dagaa amesema kuwa taa hizi zitaweza kuwasaidia katika shughuli zao za Uvuvi  kwa sababu hapo awali taa walizokuwa wanazitumia walikuwa wakikumbana na changamoto ya upotevu wa betri ambazo zilitumika kuwashia taa hizo lakini kupitia taa hizi ambazo zinachajiwa zitawasaidia kuondokana na changamoto hizo.

Shirika la (KOICA) kwa kushirikiana na Shirika la (LAVRLAC) wametoa jumla ya Taa 40 kwa wavuvi ambazo watazitumia kwa kipindi cha majaribio ya mda wa mwezi mmoja bila malipo na baada ya hapo kwa mvuvi ambaye atakuwa tayari kuendelea kutumia taa hizo ataweza kununua na kumiliki taa hizo moja kwa moja.

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 17-06-2025 June 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 07-05-2025 May 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa