• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

WATUMISHI WA HALMASHAURI WAIBUKA MABINGWA BAADA YA KUIFUNGA TIMU YA MADIWANI

Imewekwa : May 12th, 2022

Katika mchezo wa kirafiki wa mpira wa miguu baina ya Watumishi wa Halmashauri na Madiwani wa wilaya ya Muleba Watumishi wamefanikiwa kuifunga timu ya Madiwani bao 1-0 na kuibuka washindi wa mchezo huo uwanja wa CCM Muleba.

Mgeni rasmi wa mchezo huo Mkuu wa wilaya ya Muleba ametoa pongezi kwa timu zote mbili kwa uwezo waliouonesha katika mechi hiyo na kushauri kuundwa kwa timu ya wilaya ya Muleba kwa kuanza kutafta watu wenye uwezo kuanzia ngazi ya Kata ili wilaya iweze kuwa na timu itakayoweza kushiri hata ligi kuu.

"Nimeona sasa kuwa ipo haja ya kuundwa timu bora ya wilaya ya Muleba ambayo itaweza kushiriki michezo mbalimbali hata kufikia kushiriki ligi kuu lakini pia tuanze kuwa na michezo  mbalimbali kama kukimbia mbio ndefu na fupi, mchezo wa mpira wa kikapu pamoja na timu ya mpira wa miguu ya wanawake"amesema Mhe. Toba Nguvila.

Aidha, Mkuu wa wilaya amependekeza kuwepo kwa mwendelezo wa michezo hiyo ili kuweza kuimarisha ushirikiano na mshikamano baina ya watumishi na Waheshimiwa madiwani.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Magongo Justus ametoa pongezi kwa timu zote kwa uwezo na umahili waliouonesha katika mchezo huo.na kumpongeza mlinda mlango wa timu ya Mhe. Muhaji Bushako kwa uwezo aliouonesha Katika mchezo huo.

Gori la timu ya watumishi ambao wameibuka wshindi katika mchezo huo limefungwa na Afisa Elimu Sekondari Mwl. Jared Muhile na kuipa timu ya watumishi ushindi wa bao 1-0

Imeandaliwa na Kutolewa na: 

Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa