• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

WANAOHUJUMU MIRADI YA SERIKALI WAONYWA KUACHA TABIA HIYO

Imewekwa : May 13th, 2023

Katika Mkutano wa Baraza la Madiwani uliofanyika ndani ya Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mhe. Dkt Abel Nyamahanga ametoa onyo kwa wanaohujumu miradi ya maendeleo kuacha vitendo hivyo kabla ya hatua kali za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.

Akizungumza Katika Baraza hilo Mkuu wa Wilaya amewasihi Watumishi pamoja Watendaji kuhakikisha wanatekeleza miradi kwa viwango bora vinavyostahili.

"Kama darasa lilitakiwa lijengwe kwa mita saba ikaongezeka ikawa mita saba na nusu au madarasa matano yakaongezewa kwa utaratibu huo tafsiri yake kama fedha haijaongezwa maana yake mradi huo upo chini ya kiwango na kama ni darasa likafinywa labda ilikuwa inatakiwa  iwe mita saba ikajengwa mita sita tafsiri yake ni kwamba mradi huo umehujumiwa" amesema Mhe. Dkt Abel Nyamahanga.

Aidha, amesema kuwa lipo tatizo la kujenga miradi kwenye maeneo ambayo yana migogoro hivyo ameshauri kuepuka utaratibu wa kujenga miradi kwenye maeneo yenye migogoro badala yake yatafutwe maeneo ambayo hayana migogoro ndipo miradi ijengwe.

Sambamba na hayo  amesema kuwa baadhi ya Viongozi wakiwemo  Wenyeviti wamekuwa vyanzo vya migogoro kwa wananchi hivyo amewasihi kuhakikisha wanakuwa wasuruhishi wa migogoro na sio kuwa sehemu ya migogoro hiyo.

Lakini pia amewaagiza Maafisa Ugani kuwatembelea wananchi kuwapa elimu bora ya kilimo ikiwa ni pamoja na kuwahamasisha kusafisha mashamba yao na kutunza mashamba yao pamoja na kuhakikisha wanashirikiana na Watendaji, Madiwani na Wenyeviti wa vijiji kuhakikisha kila Kijiji kinakuwa na Shamba darasa ambalo litaleta tija katika kilimo bora.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mhe. Magongo Justus amewasihi Madiwani, Watendaji pamoja na Wakuu wa Sehemu na Vitengo  kuongeza umakini katika utendaji kazi wa majukumu yao  ikiwa ni pamoja na usimamizi bora wa miradi ili iweze kutekelezeka kwa viwango vinavyostahili.

Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Ndg. Evart Kagaruki katika utekelezaji wa miradi amewasihi Madiwani kuishirikisha Ofisi ya Mkurugenzi ili unapoanza utekelezaji wa miradi hiyo mhandisi awepo eneo husika kuona hatua zilizofikiwa katika ujenzi wa mradi kwa lengo la kuhakikisha ubora unazingatiwa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

 

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa