• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

WANANCHI WAHIMIZWA KUWAPELEKA VIJANA WAO KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI( VETA)

Imewekwa : September 24th, 2023



Katika Ziara iliyofanywa na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Wilayani Muleba Katika Kata ya Kamachumu alipotembelea na kukagua maendeleo ya shughuli za upanuzi wa Chuo cha (VETA) Ndolage amewahimiza wananchi Wilayani Muleba kuwapeleka vijana wao katika chuo hicho ili waweze kunufaika na elimu ya mafunzo ya ufundi Stadi.


Akizungumza  Chuoni hapo Waziri Mkuu amesema kuwa kupitia mafunzo yanayotolewa katika Chuo hicho yataweza kuwasaidia vijana kupata ajira pamoja na kujiajili katika shughuli mbalimbali za kiufundi ambazo zitawawezesha kuwaingizia mapato na kusaidia kukuza uchumi wa Taifa.


"Hapa ndio mahali pa kupata ujuzi utakao tuongoza kufanya kazi za kiujuzi ambazo zitatuongezea Mapato binafsi na pamoja na Mapato ya Wilaya yetu  na Taifa kwa ujumla, Chuo hiki kinaweza kuchukua vijana wa ngazi zote za Elimu ukiwa hapa kwa Taaluma yeyote ile unaweza  kutoka na ujuzi wote wa kiufundi" amesema Mhe. Kassim Majaliwa.



Sambamba na hayo ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kutenga bajeti ya fedha kwa ajili ya kuwawezesha vijana wanaohitimu mafunzo ya ufundi Stadi  kuwa na mitaji ya kuweza kuwasaidia kujiajili baada ya kuwa wamehitimu mafunzo.



Katika Taarifa iliyosomwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (VETA)  Ndg. Antony Kasore amesema kuwa Serikali kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia ilitenga na kutoa kiasi cha Tsh. milioni 903.57 kwa ajili ya kujenga na kuongeza miundombinu katika Chuo hicho.


Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa