• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

WANANCHI WA KATA YA KAGOMA WAAGIZWA KULIMA KWA KUFUATA KANUNI BORA ZA KILIMO

Imewekwa : May 3rd, 2023

Katika Mkutano uliofanyika Kata ya Kagoma Wilayani Muleba Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mhe. Dkt Abel Nyamahanga amewasihi wananchi kujikita zaidi katika kilimo bora ili waweze kupata mazao yatakayowasaidia kuinuka kiuchumi na kuondokana na umaskini.

Akizungumza Katika Mkutano huo Mkuu wa Wilaya amewaeleza wananchi kuwa ni vema wakawatumia Maafisa Ugani ambao watawaelekeza namna bora ya kulima kitaalamu ili kuondokana na kilimo cha mazoea ambacho hakina utaalamu.

"Watendaji wa Vijiji shirikianeni na Maafisa Ugani kwenda kwa wananchi kutoa elimu ili waweze kulima kitaalamu na  kupata mazao mengi yenye ubora yatakayowasaidia kunufaika zaidi na kilimo" ameagiza Mhe. Dkt Abel  Nyamahanga.

Sambamba na hayo  ametoa onyo kwa viongozi na watumishi wanaoshiriki katika vitendo vya uvuvi haramu na kuagiza wenye nyavu haramu kusalimisha nyavu hizo kabla ya hatua kari za kisheria kuchukuliwa dhidi yao.

Mkuu wa Sehemu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Ndg. Charles Ntaki akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba amewaeleza wananchi  kuwa suara la ushuru wa ndizi Halmashauri zote za Mkoa wa Kagera zilikubaliana kutoza kila mkungu wa  ndizi kiasi cha Tsh. 500 hivyo kwa hakuna Halmashauri inayotoza ushuru tofauti na makubaliano hayo.

Katika Taarifa ya Kata iliyosomwa na Mtendaji wa Kata ya Kagoma Ndg. Lameck Chacha Ryoba amesema kuwa katika zoezi la kuendelea kupambana na uvuvi haramu tayari Kata ya Kagoma zimesalimishwa nyavu haramu aina ya timba 248 zenye thamani ya  Tsh. Milioni 22.2 na kwa wale ambao hawajasalimisha kwa hiari mikakati imewekwa kuhakikisha wanafikishwa kwenye vyombo vya kisheria.

 

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa