• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

WANANCHI JITOKEZENI KWA WINGI ILI WATOTO WENU WAWEZE KUPATIWA CHANJO YA POLIO - DAS MULEBA.

Imewekwa : November 28th, 2022

Katika kikao cha Kamati ya Afya ya Msingi kilichofanyika ndani ya Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kwa ajili ya kampeni ya Kitaifa ya kutoa chanjo ya matone ya polio awamu ya nne Katibu Tawala wa Wilaya ya Muleba Ndg. Greyson Mwengu ametoa rai kwa wananchi kuhakikisha wanajitokeza kwa wingi ili watoto wao waweze kupatiwa chanjo hiyo.

Akizungumza katika kikao hicho Katibu Tawala wa Wilaya ya Muleba amesema kuwa chanjo hizo ni salama na zitatolewa kwa mda wa siku 4 kuanzia tarehe 1 hadi tarehe 4/12/2022 na chanjo hizo zitawasaidia watoto waliopo chini ya miaka mitano kukua salama bila kushambuliwa na ugonjwa wa polio.

"Kama mzazi asipojitokeza kwa ajili ya mtoto wake kupatiwa chanjo hii ya polio anaweza akasababisha mtoto wake kushambuliwa na ugonjwa huu na sisi kama Serikali tusingependa kumpoteza mtoto yeyote kwa sababu ya ugonjwa huu wa polio na wakati chanjo tunazo" amesema Ndg. Greyson Mwengu.

Aidha, ameongeza kwa kusema kuwa mpaka sasa Kamati ya Afya ya Msingi imeshajiandaa kuhakikisha zoezi hilo linakwenda vizuri na kwa viongozi wa kata na vijiji na vitongoji tayari wameshafikishiwa taarifa ili waweze kuwahamasisha wananchi zoezi hilo liweze kwenda vizuri.

Lakini pia ametoa rai kwa viongozi wa ngazi za chini  kuhakikisha wanahamasisha wananchi ili waweze kujitokeza ili chanjo hii iweze kufanikiwa kwa asilimia ambazo zimepangwa na hata wao kama viongozi wamesisitiza kuhakikisha kila maeneo watakayopita watatoa elimu kwa wananchi ili zoezi liweze kufanikiwa.

MratibuwaChanjoyaPolioWilayayaMulebaNdg.Christinaamesemakuwaugonjwawapolioniugonjwaunaosababishwanavirusivyapolionaugonjwahusababishamtukupoozanahatimayekufariki.

Lakinipiaameongezakwakusemakuwavirusivyapoliohuingiamwilinikwanjiayamdomo,kwakunywamajiauchakulaambachokimechafuliwanakinyesikutokakwamtualiyeambukizwavirusihivyonaugonjwahuowapolioamesemakuwahaunatibabaliunawezakuzuiliwakwakupatachanjoyamatoneyapolio.

Kwa upande Evart Erenest Diwani wa Kata ya Rulanda amesema kuwa wao kama viongozi kwa ngazi za kata wameshajiandaa kuhakikisha kwamba wanawashirikisha makundi mbalimbali, watu mashuhuri, kwenye mikutano na hata kwenye magulio kuhakikisha kila mtu amepata ujumbe huu na kuuhakikisha kila mtu ametimiza wajibu huu wa watoto kupatiwa chanjo.

Naye Ndg. Johanes Mtoka mjumbe wa Kamati ya Afya ya Msingi kwa upande wake ameeleza kuwa chanjo hiyo itaenda kusaidia watoto ambao wangeweza kupooza kwa kupata ugonjwa wa polio.

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.



Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa