• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

WAKUU WA IDARA NA VITENGO WAHIMIZWA KUWA WASIMAMIZI BORA WA MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa : June 14th, 2023

Katika hafra fupi ya makabidhiano ya ofisi iliyofanyika ndani ya ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Muleba Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Muleba Dkt. Peter Nyanja amewahimiza Wakuu wa Idara na Vitengo kuwa wasimamizi bora wa miradi ya maendeleo ili utendaji kazi wao uweze kuonekana kuwa wa viwango vinavyostahili.

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya ofisi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba amewaeleza Wakuu wa Idara kuwa utendaji wao wa kazi unapimwa kwenye miradi ya maendeleo hivyo amewaomba kushirikiana ili kuhakikisha kuwa miradi ya maendeleo imetekelezwa kwa ubora na kwa viwango vinavyostahili.

"Niwaombe sana Wakuu wa Idara  tuwe wawazi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo tusimamie vyema na kuhakikisha tunazingatia ubora unaostahili katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Muleba" amesema Dkt. Peter Nyanja.

Lakini pia amewasihi wakuu wa Idara kuwatendea haki watumishi wadogo ikiwa ni pamoja na kuwapa sitahiki zao kama inavyostahili.

Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Ndg. Elias Kayandabila amemueleza Dkt. Peter Nyanja kuwa tayari Halmashauri ilikuwa na mpango kwa bajeti inayofata  kuhakikisha jumla ya madiwani 57 ambao bado hawajapata vishikwambi kununuliwa vishikwambi ambavyo watavitumia katika uendeshaji wa vikao vya Halmashauri   ili kuweza kuondokana na mfumo wa zamani  wa kutumia makabrasha katika uendeshaji wa vikao.

Sambamba na hayo  amewashukuru waheshiwa Madiwani pamoja na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi cha utekelezaji wa majukumu yake alipokuwa Muleba na kuwasihi kumpa ushirikiano Dkt. Peter Nyanja Mkurugenzi Mtendaji  wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kwa sasa.

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 17-06-2025 June 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 07-05-2025 May 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa