• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

WAKUSANYA MAPATO WAHIMIZWA KUFANYA KAZI YAO KWA UBORA NA KWA KIWANGO KINACHOSTAHILI

Imewekwa : February 1st, 2023

WAKUSANYA MAPATO WAHIMIZWA KUFANYA KAZI YAO KWA UBORA NA KWA KIWANGO KINACHOSTAHILI.

Katika zoezi la kuwasainisha upya mikataba wakusanya mapato wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba baada ya kumaliza mkataba wao waliousaini tarehe 31/01/2022  Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mhe. Magongo Justus amewasihi kufanya kazi yao kwa ubora zaidi ili kuyafikia malengo ya Halmashauri.

Akizungumza wakati wa kusaini mikataba hiyo Mwenyekiti wa Halmashauri amewasisitiza wakusanya mapato kuacha tabia ya kuwa wanawaachia mashine za kukusanyia mapato watu ambao hawahusiki na kazi hiyo.

"Mtu umekabidhiwa mashine lakini unampa mtu mwingine na unakuta sisi viongozi hatuna hizo taarifa hizo mashine sio simu ni kifaa ambacho tunakitumia kwa manufaa ya wananchi wa Muleba sasa wewe unachukua unampa mtu mwingine ambaye huna dhamana naye huo sio utaratibu wetu" amesema Mhe. Magongo Justus.

Aidha, amewasihi wadhamini wa wakusanya mapato kuhakikisha wanawahimiza wakusanya mapato kufanya kazi yao kama inavyostahili ili kuepuka kuwajibika endapo mkusanya mapato akikiuka utaratibu wa kazi yake.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Ndg. Elias Kayandabila amewasihi kila mkusanya mapato kuhakikisha anasimama kwenye nafasi yake ili mapato ya Halmashauri yaweze kuongezeka zaidi na kuyafikia malengo ya Ukusanyaji wa Mapato ambayo Halmashauri imejiwekea.

Imetolewa na:

kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA KUTWA,BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM 2023 December 14, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA KUTWA KIDATO CHA KWANZA December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • DC AHIMIZA WANANCHI KULINDA NA KUTUNZA MIUNDOMBINU YA MAJI.

    March 22, 2023
  • RC, AAGIZA KUSIMAMIWA KWA MKANDARASI ANAYETEKELEZA MRADI WA MAJI WA KYAMYORWA

    March 11, 2023
  • OFISI YA MKURUGENZI YAAGIZWA KUWATAFTIA ENEO LITAKALOWAFAA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA KARIAKOO

    March 11, 2023
  • OFISI YA MKURUGENZI YAAGIZWA KUWATAFTIA ENEO LITAKALOWAFAA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA KARIAKOO

    March 11, 2023
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu: +255-756-350-183

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa