• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

VIONGOZI WAHIMIZWA KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI

Imewekwa : March 7th, 2023

Katika hafra ya uzinduzi wa Makala ya Utekelezaji wa Miradi kwa kipindi cha Miaka Miwli ya Mhe. Dr Samia Suluhu Hassan Wilaya ya Muleba Katibu Tawala wa Wilaya ya Muleba Ndg. Greyson Mwengu akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya amewasihi Viongozi kufanya kazi kwa ushirikiano katika utekelezaji wa miradi inayoendelea kufanyika Wilayani Muleba.

Akizungumza katika Hafla hiyo Katibu Tawala wa Wilaya ya Muleba amesema kuwa wao kama viongozi wanatakiwa kuyatekeleza yote yanayohitaji utekelezaji katika Wilaya ya Muleba kwa lengo la kujenga Wilaya.

" Mafanikio hayaji kwa kufanya kazi kila mmoja kivyake ili muweze kufanikiwa ni lazima msimame nyote kwa pamoja kwahiyo sisi kama Serikali ni jukumu letu kuendelea kusimamia mazingira mazuri ya usalama na amani ili kazi zote zinazofanyika ziwe ni kazi endelevu" amesema Ndg. Greyson Mwengu.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba amemuomba Mkurugenzi Mtendaji kusimamia miradi inayotekelezwa ndani ya Wilaya ya Muleba kwa  bajeti zinazopangwa pamoja na fedha inayotoka Serikali kuu ili iweze kuwanufaisha wananchi kama inavyostahili.

Lakini pia amesema kuwa kwa Mwaka huu wa fedha tayari Halmashauri imeshatoa kiasi cha Tsh. Bilioni 1.7 kwa ajili ya makundi ya akina mama, vijana na watu wenye ulemavu ili kuweza kuwasaidia kutekeleza miradi yao, kuzalisha na kuboresha maisha yao.

Katika uzinduzi wa Makala ya utekelezaji wa miradi mbalimbali iliyofanyika kwa kipindi cha Miaka Miwili ya Mhe. Dr Samia Suluhu Hassan wilaya ya Muleba ilipokea jumla ya kiasi cha Tsh. Bilioni 40.5 ambazo zilielekezwa katika Sekta mbalimbali ikiwemo Sekta ya Elimu, Afya, Nishati, Kilimo, Uvuvi, Maji na Nyinginezo.

Imetolewa na:

kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.


Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa