• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

VIONGOZI WA UMMA WILAYA YA MULEBA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA MGONGANO WA MASLAHI KWENYE UTUMISHI WAO.

Imewekwa : January 23rd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mhe. Dkt. Abel Nyamahanga amewataka Viongozi wa Umma kuviishi viapo walivyo apa hasa kiapo cha ahadi ya uadilifu katika utekelezaji wa majukumu yao na pia kuepukana na vitendo vya migongano ya maslahi ili kujenga imani kwa wananchi wanaowaongoza.

Mhe.Dkt. Abel Nyamahanga ametoa kauli hiyo alipokuwa akifungua Mafunzo ya Viongozi kuhusu Maadili yaliyoendeshwa na Maafisa wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba tarehe 23 Januari 2024.

Akizungumza katika hotuba yake Dkt.Abel amesema kuwa “Serikali inatoa fedha nyingi za Miradi katika Halmashauri nyingi Nchini na hivyo ili Miradi ikamilike kwa ubora na kwa wakati lazima rasilimali hizo zipate usimamizi mzuri wa Viongozi”

Aidha, Mhe.Dkt.Abel Nyamahanga ameongeza kuwa Viongozi wa Umma wanayo dhamana kubwa katika kusimamia Rasilimali za Umma kwa umakini na Uadilifu mkubwa ili kujenga imani kwa Wanannchi wanaowaongoza,pia Dkt.Nyamahanga amewataka viongozi kuzingatia maelekezo ya Serikali katika utendaji kazi kwa kufanya maamuzi sahihi kwa lengo la kuwaletea wananchi maendeleo.

Awali akieleza lengo la mafunzo hayo katibu msaidizi Sekretarieti ya maadili ya Viongozi wa Umma Bw. Godson Kweka aliwakumbusha Viongozi kujiepusha na vitendo vyote vinavyopelekea uwepo wa migogoro wa Maslahi na kuwataka Viongozi hao kufanya kazi kwa uadilifu na uaminifu mkubwa ili kujenga imani kwa wananchi wanaowaongoza.

Bw. Kweka pia amewataka Viongozi kusimamia Rasilimali za Umma kwa uadilifu mkubwa hasa pesa za miradi mbalimbali ya Halmashauri na kuhusu urejeshaji wa tamko la Rasilimali na Madeni ya Viongozi wa Umma kwa mwaka jana 2023 ambapo amefafanua kuwa asilimia 90% ya Viongozi wote wa Halmashauri ya Muleba walirejesha matamko yao kwa wakati.

Aidha mafunzo hayo ya Maadili ya Viongozi wa Umma yamehudhuriwa na Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba zaidi ya 100 kutoka katika Idara, Vitengo pamoja na waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Imeandaliwa na kutolewa na;

Eusebius J. Kiluwa

KAIMU MKUU KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa