• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

TIMU YA HALMASHAURI YAFANIKIWA KUREJESHA USHINDI WILAYANI MULEBA

Imewekwa : November 3rd, 2023
  • Katika Mashindano ya SHIMISEMITA yaliyofanyika Jijini Dodoma na kuzihusisha  Halmashauri 110 Halmashauri ya Wilaya ya Muleba katika mashindano hayo imefanikiwa kushiriki na kurudi na ushindi wa kushinda Kikombe cha Mshindi wa Tatu Kitaifa kati ya Halmshauri 110 zilizoshiriki mchezo wa kuvuta Kamba.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mhe. Magongo Justus ameipongeza Timu ya Halmashauri iliyoshiriki katika mashindano hayo kwa kurudi na ushindi na kuifanya Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kuwa miongoni mwa Halmshauri zilizoshiriki na kushinda baadhi ya michezo iliyofanyika.


"Lazima kuwepo vikao vya mara kwa mara kutathmini michezo na kupitia Mkuu wa Idara ya Utamaduni niwe napata taarifa za mara kwa mara mkikwama popote nipate taarifa ili kuwezo kuona namna ya kuweza kutatua changamoto yenu" amesema Mhe. Magongo Justus.


Katika Taarifa iliyosomwa na Kapteni wa Timu Ndg. Mosses Kuyyela amesema kuwa katika michezo waliyoshiriki wameweza kushinda  kikombe cha mshindi wa tatu kwa kuvuta Kamba Kitaifa (kati ya Halamshauri 110), wameshinda midali ya mshindi wa tatu katika michezo ya riadha mita 400, wamekuwa Halmashuri ya 6 bora kitaifa katika mashindano hayo ( kati ya 110) pamoja na kufanikiwa kuingia 8 bora Kitaifa na michezo mingine kuingia nusu fainali.


Sambamba na hayo ameongeza kwa kuuomba uongozi wa Halmashauri kutoivunja timu iliyoshiriki mashindano ya SHIMISEMITA  Dodoma ili  timu hiyo iwe pamoja kwa muda wote kwa kuwa na ratiba ya kukutana na kufanya mazoezi ya Pamoja, timu kushiriki katika mashindano mbalimbali yanayojitokeza ili kuijengea uzoefu, kuwa na mechi za kirafiki ndani na nje ya Wilaya lakini pia Ofisi ya Utamaduni kuendelea na zoezi la kutafta wachezaji wengine na kuwaunganisha na timu ili kuongeza nguvu katika timu.


Mashindano haya yamefanyikia katika Jiji la Dodoma kuanzia tar 17-31/10/2023, yakiwa na kauli mbiu ya ‘ IMARISHA AFYA NA MAHUSIANO KAZINI KWA MAENDELEO YA NCHI”. Halmashauri ya wilaya ya Muleba ni moja kati ya Halmashauri 110 zilizoweza kushiriki mashindano haya kwa mwaka huu. Halmashauri iliwakilishwa na wafanyakazi 30 ambapo kati ya hao viongozi walikuwa 3 na wanamichezo 27. Wanamichezo hawa walishiriki katika mashindano hayo katika michezo mbalimbali ikiwa ni Pamoja na Mpira wa miguu, mpira wa pete, mpira wa wavu, mpira wa mikono, kuvuta Kamba, karata, bao, pooltable na riadha.


Imetolewa na;

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa