• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

"TARULA MNAVYOKWENDA KUJENGA BARABARA WEKENI NJIA ZA MIFUGO" DC TOBA NGUVILA

Imewekwa : January 19th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Muleba Mhe. Toba Nguvila katika kikao cha kujadili mapendekezo ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kilichofanyika katika ukumbi wa Narphin Hotel amewasihi TARURA kwamba wanapojenga Barabara waweke njia za mifugo kwani mifugo ikiendelea kupita barabarani barabara zitaharibiwa na mifugo hiyo.

Akizungumza katika Kikao hicho amewambia TARURA kuwa watoke katika mfumo wa kujenga barabara kila mwaka waende sasa kujenga barabara ambazo zitadumu kwa miaka kadhaa ambapo amewashauri kwamba ni bora wakajenga barabara chache kwa kiwango cha moramu kuliko kujenga barabara ambazo hazina Moramu kwa kuwaeleza kwamba kuwa na kilometa nyingi haisaidii kama hizo barabara hazitakuwa kwenye kiwango cha Moramu.

"Ninafuu tujenge barabara chache zidumu kwa mda mrefu kuliko kujenga barabara nyingi za kufanyia marekebisho kila mwaka hatuwezi kusonga tusipogundua hilo tutakuwa tunapoteza fedha nyingi bila kuwa na sababu ya msingi sisi wote ni wataalamu waheshimiwa Madiwani ni wazoefu sana tuone tutoke huko tujenge barabara angalau za kiwango kizuri zitakazodumu kwa mda mrefu"

Aidha mheshimiwa Mkuu wa wilaya ameongeza kwa kusema kuwa Barabara ya Rutolo kutoka Ngenge kwenda mpaka Rutolo pamoja na barabara ya Mziro kwenda mpaka Burigi  zimewekwa kwenye mpango maalumu ambapo amewaeleza wajumbe wa kikao hicho kuwa Barabara hizo zikikamilika ziitawasaidia wananchi wa maeneo hayo kwenye usalama wa eneo na huduma kwa wananchi.

Lakini pia ametoa pongezi kwa walimu kuwafaurisha wanafunzi  katika matokeo ya kidato cha nne mwaka 2021 yaliyotoka hivi karibuni ambapo ameendelea kuwasisitiza walimu kuongeza kasi ya ufundishaji ili wanafunzi waweze kufauru zaidi.

"Tulishakubarina Mhe. Mwenyekiti kwenye vikao vya Baraza walimu wanaofanya vizuri vile viwanja vyetu tisa vitengwe kwa ajili ya kuwapa zawadi walimu waliofanya vizuri kwa kufaurisha wanafunzi katika masomo yao"

Kwa upande wake Meneja wa TARURA Muleba Eng. Dativa Thelesphory katika kikao hicho cha kujadili mapendekezo ya mpango na  bajeti kwa mwaka wa fedha 2022/2023 ameleeleza kuwa TARURA wamepanga kutumia bajeti yenye ukomo wa Tsh. bilioni 4, 380, 307, 726.00 katika matengenezo ya barabara mbalimbali kutoka vyanzo vitatu vya fedha ambavyo ni Mfuko wa Barabara, Mfuko wa Jimbo na Tozo za mafuta.

Naye Kaimu afisa Mipango Ndg. Evart Kagaruki ameeleza kuwa Makisio kwa Mwaka 2022/2023 Katika mwaka wa fedha 2022/2023 Halmashauri ya wilaya inakadilia kukusanya jumla ya Tsh. 74, 446, 017, 639.88 kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato ambavyo ni pamoja na Mapato ya ndani, Ruzuku za - Mishahara, Ruzuku za Miradi pamoja na Ruzuku za OC.

Imeandaliwa na Kutolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wilaya ya Muleba

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa