• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

SHULE MPYA YA SEKONDARI KASHENO YAZINDULIWA,WANAFUNZI ZAIDI YA 148 KUANZA KIDATO CHA KWANZA.

Imewekwa : January 8th, 2024

Ikiwa leo tarehe 08 Januari,2024 Shule zote za Sekondari na Msingi zinafunguliwa kote Nchini, Kamati ya Usalama(KU) inayoongozwa na Mhe.Dkt.Abel Nyamahanga kwakushirikiana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Bi.Christina Akyoo pamoja na baadhi ya wataalamu(CMT)wamefanya uzinduzi wa Shule mpya ya Sekondari Kasheno iliyopo katika kijiji cha Kasheno kata ya Magata Karutanga Wilaya ya Muleba.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Shule hiyo Mhe.Dkt.Abel amesema kuwa zaidi ya Wanafunzi 18,105 wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha kwanza katika Shule za Sekondari zilizopo Wilaya ya Muleba,Wavulana wakiwa 8,738 na Wasichana 9,367 na huku kati yao Wanafunzi 148 wakiwa wamechaguliwa kujiunga na Shule Mpya ya Sekondari Kasheno ambayo itakuwa na Wavulana 75 na Wasichana 73.

Aidha,Mhe.Dkt.Abel amewasisitiza na kuwaonya wazazi wote ambao watawazuiza Watoto wao kwenda Shule nakusema kuwa Mzazi au Mlezi atakae mzuia mtoto wake Kwenda shule hatua Kali zitachukuliwa Ikiwa ni pamoja na kufunguliwa mashtaka.

 "Tutakwenda nyumba kwa nyumba,kitanda kwa kitanda kuhakikisha tunakamata wale wote ambao hawajatekeleza agizo la Serikali na tamko hili nila Wilaya nzima hivyo wazazi msiijaribu Serikali".

Pamoja na hilo pia Mhe.Dkt.Abel ametumia muda huo Kumshukuru Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwakutoa fedha nyingi za Miradi ya Elimu katika Wilaya ya Muleba ambayo itakwenda kuweka kumbukumbu na alama kubwa kwa Vizazi Vijavyo katika Wilaya ya Muleba.

"Naungana na Wenzangu wote Kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama yetu Samia Suluhu Hassani kwa hiki alichotufanyia wana Muleba, jambo ambalo haliwezi kusahaulika hivyo na sisi Wazazi nimashahidi kwani Watoto wetu walikuwa wakitoka Umbali mrefu kwenda kupata Elimu."

Kwa upande wake nae Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Bi.Christina Akyoo amesema kuwa ofisi ya Mkurugenzi kwa Kushirikiana na Walimu kwa pamoja watahakikisha majengo yote ya Shule yanakuwa safi muda wote.

Imeandaliwa na kutolewa na;

Eusebius J.Kiluwa

KAIMU MKUU KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa