• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

RC, CHALAMILA AMEIGIZA OFISI YA MKURUGENZI MTENDAJI KUANDAA MAKALA WAKATI WA UJENZI WA MIRADI

Imewekwa : March 10th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Albert Chalamila amefanya ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya na kuiagiza ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Wilayani Muleba kuwa na utaratibu wa kuandaa makala za utekelezaji wa miradi toka inapoanza mpaka kukamilika.

Akizungumza baada ya kukagua ujenzi wa Hospitali hiyo Mkuu wa Mkoa amesema kuwa uandaaji wa makala za miradi toka inapoanza kutekelezwa mpaka kukamilika itasaidia kuweza kudhibitisha hali halisi ya utekelezaji wa miradi hiyo.

"Mkiandaa makala za utekelezaji wa miradi itaweza kuwasaidia kueleza kwa nini fedha hazijatosha endapo mradi usipokamilika kwa sababu fedha inaweza ikaletwa maeneo yote kiwango kile kile lakini isitoshe kutokana na eneo lilivyo sasa ukiwaonesha kwa makala tangu unachimba msingi itakisaida kupunguza maswali kwa nini fedha haikutosha kukamilisha mradi huo" amesema Mhe. Albert Chalamila.

Lakini pia amewasihi kuhakisha wanawatumia wadhabuni  wanaonunua vifaa vilivyo bora na vinavyokidhi viwango vilivyowekwa na wahandisi wa ujenzi ili kuweza kuondoa changamoto ya kuuziwa vifaa visivyo bora.

Katika taarifa iliyosomwa na Mganga Mkuu wa Wilaya ya Muleba Dr. Deo Kisaka amesema kuwa Halmashauri ilipokea kiasi cha Tsh. milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya awali ya Hospitali ya Wilaya ambapo limejengwa jengo la  Wagonjwa wa nje na jengo la Maabara na mpaka sasa ujenzi wa mradi huo kiasi cha Tsh. milioni 493.5 kwa ajili ya kuwalipa wadhabuni wa vifaa vya ujenzi vya viwandani na vifaa vya asili pamoja na mafundi wa ujenzi na kiasi kilichobaki mpaka sasa ni Tsh. milioni 6.4 na kiasi hicho kipo kwenye mchakato wa malipo ya mafundi.

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • TIMU YA HALMASHAURI YAFANIKIWA KUREJESHA USHINDI WILAYANI MULEBA

    November 03, 2023
  • WANAOKWENDA KUSHIRIKI MICHEZO YA SHIMISEMITA WAHIMIZWA KWENDA KUSHIRIKI VYEMA MASHINDANO HAYO

    October 15, 2023
  • BARAZA LAPOKEA TAARIFA YA HESABU ZA MWISHO ZA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

    October 07, 2023
  • MKUU WA WILAYA AWAHIMIZA MADIWANI KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO ILI KUWEZA KULETA MAENDELEO YA HALMASHAURI

    October 03, 2023
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu: 0769106793

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa