• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

OFISI YA WAZIRI MKUU KAZI VIJANA AJIRA NA WENYE ULEMAVU YAFADHIRI VIKUNDI VYA VIJANA MULEBA

Imewekwa : December 13th, 2022

Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu imefanya ufadhiri kwa vikundi viwili vya vijana kwa kutoa mashine za kukata vioo  pamoja na vyerehani kwa kikundi cha Vijana Bujuna na kikundi cha Tujenge Chetu vilivyopo wilayani Muleba kama sehemu ya kuviwezesha vikundi hivyo.

Akizunguza wakati akikabidhi vifaa hivyo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mhe. Magongo Justus amewasihi vijana hao kuvitunza vizuri vifaa hivyo ili viweze kutumika kwa mda mrefu katika kazi zao kwa ajili ya kuwanufaisha zaidi.

"Wapo watu ambao sio wazuri sana katika kutunza vifaa au mali ambayo amepata bila kutoka jasho lakini mjue kwamba hii mmeshaitolea jasho mlipopokea mkopo mkaendelea kuzarisha ndipo kazi yenu  ikaonekana kutokana na kazi manazozifanya kwahiyo niwatie moyo muendelee kufanya kazi vizuri ili muweze kupata manufaa zaidi.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Ndg.  Stewart Mtondwa ameeleza kuwa vifaa hivyo vimetolewa kwa vikundi hivyo ikiwa pia kama ishara ya kuonesha ni kwa jinsi gani Halmashauri inachangia asilimia 10 za mapato ya ndani  kwa kutoa mikopo kwa vijana ambapo vilichukuliwa vikundi vinne Mkoani ambavyo vinafanya vizuri na Mkoani wakapeleka Wizarani ndipo Wizara ikaamua kufadhiri vikundi hivyo.

Kwa upande wake Bw. Kervin Alistides Mwenyekiti wa Kikundi cha Vijana Bujuna ameishukuru Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu kwa kuwapatia vifaa hivyo ambapo ameeleza kuwa kupitia vifaa hivyo vitaweza kuwasaidia kufanya kazi za wateja kwa wakati na kuwaondolea changamoto yakutomaliza kwa wakati kazi za wateja kutokana na kutumia vifaa vya kukodi walivyokuwa wanavituia awali.

Naye Bi. Alodia Mwijage amesema kuwa hapo awali walikuwa wanapata changamoto yakutokidhi mahitaji yao kutokana na uhaba wa cherehani lakini kupitia vyerehani walivyopewa wanaaamini wataweza kufanya kazi zao vizuri na wataweza kuwahamasisha na vijana wengine kuunda vikundi kama wao.

Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye imetoa ufadhiri wa Mashine Mbili za Kukatia vioo na mashine mbili za kutobolea vyuma na mbao zenye thamani ya Tsh. Milioni 3.3 na  pamoja na Vyerehani vitatu vyenye thamani ya Kiasi cha Tsh. Milioni 2.6 kwa kikundi cha Vijana Bujuna kilichopo Kata ya Izigo na Kikundi cha Tujenge Chetu kilichopo Kata ya Mayondwe.

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa