• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

"NI LAZIMA TUDHIBITI UTOROSHWAJI WA KAHAWA KWA NJIA YA MAGENDO" DC NGUVILA

Imewekwa : May 19th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Muleba Mhe. Toba Nguvila amewaomba wadau wa Kahawa kutoa ushirikiano kupambana na kukomesha utoroshaji wa kahawa kwa njia ya magendo.

Akizungumza katika Mkutano huo Mkuu wa wilaya ameielekeza kamati ya usalama na pamoja na viongozi wa kata na vijiji AMCOS kuhakikisha wadhibiti magendo kutoka ndani ya wilaya kwenda nje ya nchi bila kufuata utaratibu wa kiserikali uliowekwa.

"Jukumu la kwanza la kwetu sote ni kuhakikisha tunaweka utaratibu mzuri wa kuzuia na kuepusha biashara ya magendo ya kahawa" amesema Mhe. Toba Nguvila.

Aidha, Mkuu wa wilaya amewaomba viongozi wakiwemo watendaji, maafisa kilimo pamoja na Amcos kuhakikisha wanatoa elimu kupambana kuhakikisha wanazuia baishara ya kuuzia kahawa mashambani ili wananchi wote wenye kahawa waweze kuuza kahawa yao kwenye mnada.

Lakini pia amewaomba wakulima wa kahawa kuhakikisha wanatunza kahawa vizuri ili thamani ya kahawa yao iweze kupanda ambapo amewasistiza kuwa wakitunza kahawa yao vibaya thamani yake itashuka hivyo ni vyema wakahifadhi kahawa zao kwenye maghara bora.

Sambamba na hayo amewaomba wafanyabiashara kuhakikisha wanafuata mwongozo uliotolewa ambapo amewasihi kuwa kwa mfanyabiashara atakayekiuka masharti hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.

Imeandaliwa na Kutolewa na;

Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA KUTWA KIDATO CHA KWANZA December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WATOA HUDUMA ZA AFYA WAHIMIZWA KUTOA HUDUMA BORA KWA WAGONJWA-DR MAGEMBE

    June 27, 2022
  • ZANA HARAMU ZA UVUVI ZAENDELEA KUTEKETEZWA MULEBA

    June 23, 2022
  • DC NGUVILA ATEMBELEA NA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA USAMBAZAJI WA UMEME WA REA MULEBA

    June 22, 2022
  • MGOGORO WA ARDHI KIJIJI ILEMELA WATATULIWA

    June 21, 2022
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu: +255-756-350-183

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa