• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA AKABIDHI VISHIKWAMBI KWA WAKUU WA SEHEMU NA WENYEKITI WA KAMATI

Imewekwa : December 2nd, 2022

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mhe. Magongo Justus amekabidhi vishikwambi kwa Wakuu wa Sehemu na Wenyekiti wa Kamati ili viweze kusaidia kupunguza gharama za kusafirisha nyaraka pamoja na urahisishaji wa shughuli mbalimbali.

Akizungumza baada ya kukabidhi Vishikwambi hivyo Mwenyekiti wa Halmashauri amesema kuwa  vishikwambi vitaweza kupunguza gharama za kutoa nakala za makaburasha, kupunguza gharama za usafirishaji wa makaburasha, kusaidia kupata taarifa za vikao kwa wakati pamoja na kurahisisha utendaji wa kazi mbalimbali za Halmashauri.

"Ushauri wangu kwenu Wakuu wa Sehemu na Wenyeviti wa Kamati hakikisheni  mnavitunza vizuri vishikwambi hivi na hakikisheni mnaongeza morali ya utendaji wa kazi unaostahili na nina imani kwamba vitatumika kama ilivyopangwa  ili tuweze kutimiza  malengo ya Halmashauri yetu" amesema Mhe. Magongo Justus.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Ndg. Stewart Mtondwa ameeleza kuwa Jumla ya vishikwambi vilivyonunuliwa ni vishikwambi 25 ambapo vishikwambi 18 vitatumiwa na wakuu wa Idara na vishikwambi 7 vitatumiwa na Wenyeviti wa Kamati za Kudumu na vyote kwa pamoja vimegharimu kiasi cha Tsh. Milioni 37,250,000/=

Naye Bi. Enelietha Wiliamu ambaye ni Mkuu wa Sehemu ya Maendeleo ya Jamii ameeleza kuwa hapo awali kulikuwa na changamoto kupata makaburasha kwa wakati na gharama zilizokuwa zinatumika zilikuwa kubwa hivyo vishikwambi hivyo vitaweza kurahisisha utendaji kazi na majukumu ya kiofisi kwa ujumla wake.

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.



Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa