• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MWENYEKITI WA HALMASHAURI AWASISITIZA WATENDAJI KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO IPASAVYO

Imewekwa : August 23rd, 2021

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Muleba Mh. Justus Magongo amekutana na watendaji wa Kata na Vijiji katika kikao kazi maalumu kilichoandaliwa na Mkurugenzi Mtendaji kwa ajili ya kuzungumza nao na kuwakumbusha juu ya wajibu wao na kusikiliza changamoto zao za kiutendaji. 

Akizungumza katika kikao hicho Mh. Justus Magongo amewaomba watendaji wa kata pamoja na vijiji vyote vya Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kutekeleza majukumu yao huku akiwataka kuonesha mabadiliko katika utendaji wao wa kazi na kusisitiza kuchukua hatua kwa watendaji watakaoshindwa kutimiza majukumu yao.

"Tunahitaji kubadilika kwa spidi na tunasisitiza kuwa tutachukua hatua kali kwa watendaji watakaoshindwa kutimiza majukumu yao na tunasema haya tukiwa na nia kwamba watu waweze kujitambua na kutimiza malengo yao ipasavyo" amesisitiza Mh. Magongo.

Aidha, Mh. Magongo ameongeza kwa kusema kuwa nia na madhumuni ni Halmashauri ni ya Wilaya ya Muleba kuwa Halmashauri ya mfano kwa Halmashauri nyingine  za mkoa wa Kagera na Tanzania na jambo hili litawezekana kwa kuongeza juhudi zaidi na zaidi ili kufikia malengo yaliyowekwa ikiwemo ukusanyaji wa mapato. 

Akizungumzia suala la watendaji kuwa na vikao vya kisheria amewambia watendaji kuwa wao ndo wanatakiwa kuwa vichochezi kwa wenyekiti wa vitongoji na vijiji kwenda kwa madiwani kuwambia suala la kuwa na vikao vya kisheria ili kupitisha na baada ya kupitisha watendaji wawe na jukumu la kuwaalika wananchi waweze kuhudhulia kwenye vikao hivyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Muleba Mh. Elias Kayandabila amewaomba watendaji wote kutimiza majukumu yao ipasavyo na kusisitiza kuwa ni marufuku kwa mtendaji yeyote aliyepo ndani ya wilaya ya Muleba kuondoka katika kituo cha kazi bila ruhusa na kuwataka watendaji kuridhika na mishahara yao 

"Kuanzia sasa ni marufuku kwa mtumishi yeyote aliyeko ndani ya Muleba kuondoka kwenye kituo chake cha kazi bila kufuata taratibu za kisheria huwezi kuwa Mtendaji wa kata halafu anakuja mgeni anakuta mtendaji haupo kwenye eneo lake la kazi na hajaomba ruhusa ya kutokuwepo kwenye eneo la kazi," amesisitiza Bw. Elias Kayandabila.

Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Halmashauri na kuhudhuriwa na wakuu wa idara.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa