• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MWENYEKITI WA HALMASHAURI AWAHIMIZA WANANCHI WA KATA YA MUSHABAGO KUWAPELEKA WATOTO WAO SHULE

Imewekwa : April 26th, 2022

Katika ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali iliyofanywa na Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango kukagua ujenzi wa shule mpya ya Mshabago iliyopo katika kata ya Mushabago kijiji cha Kyanshenge Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Magongo Justus amewaasa wakazi wa kijiji hicho kuwapeleka watoto wao shule ili wapate elimu bora.

Akizungumza na wananchi wa Mushabago Mhe. Mwenyekiti amewasisitiza wananchi kuwa nafasi za kazi zote zinazotokea wanaopewa kipaumbele ni wenye elimu hivyo watumie nafasi waliyo nayo kuwapeleka watoto wao shule.

"Tuwasomeshe watoto habari ya kubebwa haipo na usiombe mtoto wako abaki kufagia isipokuwa muarobaini ni watoto waende shule wafauru na ndio maana tunaweka mazingira mazuri ili waweze kujitegemea na kuajiliwa Mtu yeyote ambaye amesoma na akatumia mda wake vizuri hakwami    "amesema Mhe. Magongo Justus.

Lakini pia amewasisitiza wananchi kuwafundisha watoto wao ujuzi wa maisha ikiwa ni pamoja na kujifunza kazi mbalimbali kama ujasiriamali na shughuli nyinginezo.

Mhe. Mwenyekiti amehimiza wananchi wa kata ya Mushabago kijiji Kyanshenge kuhakikisha wanawapeleka watoto wao shule ili wawwze kupata elimu itakayowasaidia kwwnye maisha yao .

Sambamba na hayo wajumbe wa Kamati hiyo wameshauri kuanza kufanyika mpango wa kuunganisha umeme katika shule hiyo ili kuondoa changamoto ya umeme katika majengo yanayotegemea umeme hasa majengo ya TEHAMA pamoja na maabara.

Katika taarifa iliyosomwa na mwalimu Mkuu wa Shule ya Nyakatanga Mwl. Benetison Mpanju amesema kuwa mradi wa ujenzi wa shule ya Sekondari ya Mushabago unafadhiliwa na Serikali chini ya mpango wa SEQUIP ulitengewa kiasi cha Tsh. Milioni  470, 000, 000 ambapo ujenzi unahusisha majengo ya Utawala, Vyumba nane vya Madarasa, Maktaba, Maabara tatu za Fizikia Kemia na Baiolojia. Jengo la Tehama na Matundu 20 ya vyoo.

Lakini pia Kamati imetembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la dharula katika kituo cha afya Kaigara na kupongeza kwa hatua ya ujenzi waliyoifia ambapo Mwwnyekiti pia amewaisitiza kuwa wanaaambatanisha na nakala za benki kwenye taarifa zao.

Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Kaigara katika Taarifa ya ujenzi wa jengo hilo amewaeleza wajumbe kuwa walipokea kiasi cha shilingi milioni 300, 000, 000 kwa ajiri ya utekelezaji wa ujenzi wa jengo la dharula ambapo mpaka sasa ujenzi umefikia hatua ya renta na kiasi cha pesa ambacho kimeshatumika ni shilingi milioni arobaini na tatu laki tatu na elfu arobaini na mbili na mia tano (43, 342,500/=).

Imeandaliwa na Kutolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wilaya ya Muleba

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa