• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MRADI WA BOMBA LA MAFUTA WAANZA KUWANUFAISHA WANANCHI

Imewekwa : September 14th, 2022

Wananchi wa Kijiji cha Kiteme na Kijiji cha Kiguzi Kata Kasharunga ambao Mradi wa Bomba la Mafuta unapita kwenye maeneo yao  wamekabidhiwa nyumba rasmi zilizojengwa na  kuhamia katika makazi mapya katika Kijiji cha Nkomelo Kata Kasharunga Wilayani Muleba.

Akizungumza baada ya Kukabidhiwa nyumba mmoja wa wanufaika wa Mradi huo Ndg. Saidi Ramadhani amesema kuwa kupitia mradi huo amepata manufaa ikiwa ni pamoja na Nyumba aliyokabidhiwa na familia yake imeweza kupata mahala pazuri pa kuishi tofauti na walipokuwa wakiishi awali.

Naye Bi. Evangelina Saidi ameeleza kuwa hapo awali katika eneo alilolotoka ambalo mradi unapita katika eneo hilo walikuwa wakiishi maisha ya kawaida tofauti na sasa ambapo amesema kuwa mpaka hivi sasa wameweza kufuga na kufanya shughuli mbalimbali kutokana na manufaa ya mradi huo.

"Sasa hivi nimenunua Ng'ombe watano na pamoja na mbuzi na nimeweza kumpeleka mtoto wangu Chuo cha Veta haya yote ni miongoni mwa manufaa niliyoyapata kupitia mradi huu wa Bomba la Mafuta" amesema Bi Evangelina Saidi.

KwaupandewakeBi.EneriethaWilliamKatibuwaBombalaMafutaHalmashauriyaWilayayaMulebaamewasihikuendelezamahusianomazurinamajilanizaonaendapowakipatachangamotoyeyotewasisitekuwashirikishaviongozilakinipiaamewasihikuhakikishawanalimamazaoambayoyatawasaidiakupatachakulakwaajiliyafamiliazao.

Aidha, Mratibu wa Fidia katika Mradi wa Bomba la Mafuta Ndg. Kasiani Ninga  ameeleza kuwa Nyumba zinazokabidhiwa kwa wananchi kama fidia ya kuhama kwenye maeneo yao ya awali kupisha mradi  zimejengwa kwa kiwango zikiwa na huduma ya jiko, tenki la maji, umeme wa mionzi ya jua pamoja na huduma ya choo.

Naye Kaimu Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Eng. Zefania Chacha amepongeza kwa ujenzi wa Nyumba hizo kwa kiwango kinachoridhisha  na kuwasisitiza wananchi wanaohamia kwenye nyumba hizo kuhakikisha wanazitunza vizuri.

Mtendaji wa Kijiji cha Kiguzi  Ndg. Alexsander Maxmilian amewaasa Wananchi waliokabidhiwa nyumba na kuhamia katika Kijiji cha Nkomelo wakae kwa amani katika eneo hilo ikiwa ni pamoja na kushirikiana na wananchi wa Kijiji cha Nkomelo na kuhakikisha wanazitunza Nyumba zao ili waweze kukaa kwa mda mrefu.

Nyumba zilizokabidhiwa ni jumla ya Nyumba 9 kwa wananchi Saba na Nyumba hizo zote zimekabidhiwa zikiwa zimekamilika zikiwa na huduma ya matenki ya maji, vyoo, umeme wa mionzi ya jua  pamoja na huduma ya Majiko ya Kupikia.

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa