• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MKUU WA WILAYA YA MULEBA AAGIZWA KUSIMAMIA MRADI WA MAJI KYAMYORWA KUMALIZIKA KWA WAKATI

Imewekwa : February 3rd, 2023

Katika maadhimisho ya Miaka 46 ya Chama cha Mapinduzi Wilayani Muleba Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera Mhe. Nazir Karamagi amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mhe. Abel Nyamahanga kusimamia mradi wa maji Kyamyolwa ili uweze kumalizika kwa wakati na kuanza kutumiwa na wananchi.

Akizungumza baada ya kutembelea na kukagua Mradi huo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa amemuagiza Mkuu wa Wilaya kuhakikisha kabla ya ya mwaka haujaisha mradi huo uwe umekamilika na kuanza kutumiwa na wananchi.

"Kabla ya mwisho wa mwaka tutakuja tena kukagua na kujihakikishia kama mradi umekamilika watu wawe wanakunywa maji salama kuna kaya zaidi ya elfu kumi na nne kata zaidi ya tatu zinazotegemea haya maji hivyo ni vema huu mradi ukamilike ili uwanufaishe wananchi" amesema Mhe. Nazir Karamagi.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mhe. Abel Nyamahanga amemuhaidi Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera kuwa atahakikisha anasimamia mradi huo kwa kushirikiana ma Meneja pamoja na Mkandarasi ili mradi huo uweze kukamilika kwa wakati kama Mwenyekiti alivyoelekeza.

Katika Taarifa iliyosomwa na Meneja wa RUWASA Wilaya ya Muleba Eng. Patrice Jerome amesema kuwa mradi huo utazihumia kata tatu kata ya Kasharunga, Bisheke na Rulanda pamoja na vijiji vya Kyamyolwa, Rulanda na Kabuga hivyo utawanufaisha zaidi ya watu 13,860 pamoja na taasisi nne za Umma.

Mradi huo unaotekelezwa kwa fedha za benki ya Dunia chini ya programu ya lipa kwa matokeo ijulikanayo kama (PforR) mpaka kukamila mradi utagharimu kiasi cha Tsh. Bilioni 3.7

Imetolewa na:

kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa