• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MKUU WA WILAYA AAGIZA KUFANYIKA UHAMISHO KWA ALIYEKUWA MKUU WA SHULE YA SEKONDARI KIMWANI KUHAMIA SHULE NYINGINE

Imewekwa : March 4th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mhe. Dr Abel Nyamahanga ameiagiza Ofisi ya Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera kupitia idara ya elimu Sekondari kufanya uhamisho wa aliyekuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Kimwani Mwl. Peter Jovin kuhamishiwa shule nyingine kwa kosa la kutuhumiwa kutembea na wanafunzi katika shule hiyo.

Mkuu wa Wilaya ya  ametoa maagizo hayo wakati akizungumza na walimu wa shule hiyo ya Kimwani baada ya baadhi ya wazazi  kulalamikia kitendo cha mwalimu huyo kushushwa cheo cha Ukuu wa shule  na kuendelea kubaki shuleni hapo.

"Ni lazima mwalimu huyu aondoke katika kituo hiki haraka iwezekanavyo, atoke kwa masilahi ya taasisi kitendo cha kutuhumiwa kwa  kosa la kutembea na wanafunzi ni kosa kubwa sana" amesema Mhe. Dr Abel Nyamahanga.

Aidha, amesema kuwa kitendo cha mwalimu huyo kubaki shuleni kinaweza kikawafanya wanafunzi kushindwa kukaa kwa amani shuleni hapo  hivyo ameagiza mwalimu huyo ahamishwe pamoja na kufanyiwa  uchunguzi wa ya tuhuma inayomkabili.

Sambamba na hayo amewasihi walimu kuwa ni mienendo mizuri wawapo shuleni ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanawalea vizuri wanafunzi wanawatunza na kuwapa elimu bora na kuwa mifano ya kuigwa kutoka kwa wanafunzi wanaowafundisha.

Kwa upande wake Afisa elimu Sekondari Wilaya ya Muleba Mwl. Jaredi Muhile amesema wahakikisha wanalifanyia kazi agizo hilo la kumuhamisha mwalimu huyo kutoka shuleni hapo na kumtaftia shule nyingine.

Imetolewa na:

kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.


Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa