• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MKUU WA MKOA AHAIDI KUDHIBITI VITENDO VYA KIKATILI KWA WANAWAKE NA WATOTO

Imewekwa : March 8th, 2023

Katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kimkoa Wilayani Muleba Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Albert Chalamila amehaidi kudhibiti vitendo vya kikatiri dhidi ya wanawake na watoto ambavyo vinaweza kusababisha kushindwa kupata haki zao za msingi.

Akizungumza katika maadhimisho hayo Mkuu wa Mkoa amesema kuwa  miongoni mwa vitendo vya kikatiri ni vipigo, mauaji, kubakwa pamoja na ndoa za utotoni hivyo atahakikisha vitendo hivyo vinadhibitiwa kwa kushirikiana na viongozi wa vijiji hadi Mkoa.

" Wanawake muendelee kuwa wajasiri ili msinyanyasike na waume zenu lakini pia hata jamii zetu kizazi hiki ambacho kinaendelea kukua ili kesho wawe viongozi hawa tunahitaji msingi mkubwa wa malezi unaotolewa na mwanamke leo hii mashuleni tunapiga kelele na mwanamke kwa matendo haya ya ukatili kwa wanawake, ukatili wa wasichana na hata kwa watoto wadogo" amesema Mhe. Albert Chalamila.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mhe. Dr Abel Nyamahanga amesema kuwa vitendo vya vurugu vinavyoashilia uvunjifu  wa amani vikifanyika akina mama na watoto ndio wanakuwa wa kwanza kuumia hivyo amehaidi kuchukua hatua kali  za kisheria kwa wale wote watakaoshiriki  kufanya vitendo vya uvunjifu wa amani hasa kwa wanawake.

Katika Risala iliyosomwa na Afisa Afya na Ustawi wa Jamii Mkoa wa Kagera Bi. Aisha Dallu amesema kuwa katika utoaji wa mikopo ya asilimia kumi ya mapato ya Halmashauri vikundi vya wanawake vilivyopo Mkoani Kagera kwa mwaka wa fedha 2021-2022 hadi kufikia mwezi wa Sita mwaka 2022 kiasi cha Tsh. Bilioni 2.24 kilikopeshwa kwa vikundi 236 kwenye Halmashauri za Mkoa wa Kagera.

Naye Newaeli Nestrome Mfanyakazi wa Shirika la MDH amesema kuwa wao katika maadhimisho ya siku hiyo wameweza kujikita katika kuhamasisha wanawake wote ambao wanafanyiwa vitendo vya kikatili kuweza kuhudhulia katika vituo vya afya ambapo watapatiwa utambuzi pamoja na huduma za matibabu wamewahamasisha wanawake waweze kuchunguzwa saratani ya shingo ya kizazi ili waweze kutambua afya zao.

Imetolewa na:

kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa