• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA,WAKUU WA IDARA NA VITENGO,WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI WAKAA KIKAO KAZI KUJADILI MAPOKEZI YA KIDATO CHA KWANZA JANUARI,2024.

Imewekwa : December 8th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, amekutana na Wakuu wa Idara na Vitengo Pamoja na Wakuu wa Shule za Sekondari za Serikali Wilaya ya Muleba  ili Kujadili na kuweka maadhimio mbali mbali na mpango mkakati wakuondoa changamoto mbalimbali  ikiwa ni pamoja na  uhaba wa viti na madawati Wilayani humo.

Akizungumza katika kikao Mkurugenzi Mtendaji Dkt,Peter Nyanja amewataka walimu wote wa Shule za Sekondari kuweka mkakati wa haraka na  kuhakikisha ifikapo Januari,2024 tatizo la uhaba wa Viti na Madawati linamalizika Wilayani Muleba.

"Kumekuwa na tatizo la uhaba wa Viti  na meza kwenye baadhi ya shule hivyo nimewaita hapa walimu Wakuu wote ili tujadili namna ya kumaliza Changamoto hii kwenye Shule zetu"

Aidha,  Dkt. Nyanja alitumia muda huo kuwakumbusha walimu kutojihusisha na wizi wa Mitihani  kwani  wizi  ni jambo la aibu na halikubaliki.

"Lipo tatizo kubwa la wizi wa Mitihani kwa kushirikiana na wasimamizi wa mitihani hivyo naagiza tabia hii iachwe Mara Moja"

Sambamba na hilo, Dkt.Peter Nyanja,alitumia kikao hicho kuwasihi walimu kuacha tabia ya matumizi ya pombe wawapo Kazini kwani nikinyume cha maadili ya kazi kwa mtumishi wa umma.

Naye, Kaimu Afisa Elimu Sekondari, Mwalimu Masatu Bwire amesema kuwa zaidi ya wanafunzi 18105  wanatarajia kuanza Kidato Cha kwanza Mwezi Januari, 2023 katika shule zote za serikali zilizopo Wilaya ya Muleba kati yao  Wasichana ni 9344 na Wavulana 8761.

Kwa upande wake,  Mwenyekiti wa Walimu Wakuu wa Shule za Sekondari za Serikali Wilayani Muleba Mwalimu Venance Nzahaebona amewashauri walimu kufanya matengenezo ya Viti na meza vilivyoharibika ili viweze kuwasaidia Wanafunzi wanaotarajia kuanza masomo  Januari,2024.

"Kwa upande wangu mimi nimesha fanya matengenezo ya Viti vyote na Meza hivyo ni vyema tuanze kutengeneza tunapoendelea kufanya Utaratibu wa kumaliza tatizo hili"

Aidha ,Mwalimu Benetson Mpanju Mkuu wa Shule ya Sekondari Nyakatanga amewashauri Wajumbe wa kikao hicho  kufanya vikao baina ya Walimu,Menejimenti ya Shule pamoja na Wazazi ili kutafuta Mwarobaini wa changamoto ya madawati,viti na changamoto Nyingne zinazo weza kuathiri Maendeleo ya Mwanafunzi ifikapo Januari, 2024.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa