• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MKURUGENZI MPYA WA HALMASHAURI AKABIDHIWA OFISI RASMI

Imewekwa : March 13th, 2024


Dkt. Peter Maiga Nyanja aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba na Mkurugenzi mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe leo tarehe13 Machi 2024 amekabidhi rasmi ofisi kwa Mkurugenzi mpya wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Bw.Isaya Mugishagwe Mbenje.

Makabidhiano hayo yamefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Muleba, mbele ya Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Magongo Justus,Katibu Tawala wa Wilaya Mhe. Benjamini Mwikasyege pamoja na Wataalam wa Halmashauri(CMT).

Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Magongo Justus amemkaribisha na kumuahidi kumpa ushirikiano wa kutosha kwa kufanya kazi kwa umoja, mshikamano na kwa mafanikio ya Wilaya yetu.

Aidha Mhe. Magongo ameendelea kusema palipo na umoja ndio sehemu pekee ambapo mafanikio hutokea hivyo kwa umoja wetu tukiunganisha nguvu, tukawa na sauti moja vita ya maendeleo tutaishinda.

Kwa upande wake Mhe.Benjamini Mwikasyege Katibu tawala wa Wilaya ameeleza bayana kuwa Halmashauri ya Muleba ni kubwa hivyo kazi ya ziada inahitajika hasa katika ufuatiliaji na ukamilishaji wa Miradi  ya Maendeleo.

Akizungumza wakati wa Makabidhiano Dkt.Peter Nyanja ameshukushuru Uongozi wa Wilaya pamoja na Watumishi wote Kwa ushirikiano waliomuonyesha na kuwaomba kutoa Ushirikiano zaidi kwa  Mkurugenzi mpya ili kuhakikisha Miradi yote ya kimkakati inakamilika.

Aidha,Dkt. Nyanja amesema kuwa Miradi hiyo ni ujenzi wa Soko la Kariakoo pamoja na Miradi mingine ya Kimkakati ili kufikia lengo la kukusanya bilioni 10 za mapato ya ndani kwa mwaka huu wa fedha.

Akikabidhiwa Ofisi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Bw. Isaya Mbenje amewataka watumishi kushirikiana kwa pamoja katika kusimamia na kukamilisha miradi yote ya maendeleo ambayo imeletwa kwa wananchi ili kukuza uchumi wa Wilaya na Taifa kwa ujumla.

Nae,Bi.Christina Akyoo aliekuwa Kaimu Mkurugenzi alitumia muda huo pia kuishukuru Baraza la Madiwani wataalamu pamoja na Kamati  Usalama  kwa ushirikiano waliompatia katika kipindi chote wakati akikaimu Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji.

Imeandaliwa na kutolewa na;

Eusebius J.Kiluwa

Kaimu Mkuu Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa