• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MIKATABA YA KUFIKIA MALENGO YA MAKUSANYO YA FEDHA ZA HALMASHAURI YASAINIWA NA WATENDAJI KATA

Imewekwa : September 8th, 2023

Katika Kikao kilichofanyika ndani ya Ukumbi mdogo wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Watendaji wa  Kata wamesaini mikataba ya kufikia malengo ya makusanyo ya kiasi cha Tsh.Bilioni 10 kwa Mwaka wa fedha 2023-2024.

Akizungumza na Watendaji hao Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Dtk. Peter Nyanja amewaeleza Watendaji kuwa wakikusanya na kuvuka malengo ya makusanyo watasaidia upatikanaji wa fedha za utekelezaji wa miradi kwa wananchi pamoja na stahiki za kiutumishi.

"Twende tukafanye kazi na inawezekana tuwafikishieni taarifa hizi Waheshimiwa madiwani pamoja na wananchi kwa kuitisha mikutano ma kufanya vikao vya dharula ili Waheshimiwa madiwani waweze kuyajua malengo ya makusanyo tuliyojiwekea kwa mwaka huu wa fedha" amesema Dkt Peter Nyanja.

Naye Mweka Hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Ndg. Yonas Charugamba amesema kuwa kwa wanaosafirisha ndizi wasifunge ndizi hizo kwa sababu imebainika kuwepo kwa changamoto ya upotevu wa mapato pale ndizi inapokatiwa ushuru ikiwa imefungwa na kudhaniwa kuwa ni ndizi moja kumbe ndani yake kuna ndizi mbili hivyo amewahimiza Watendaji kuzuia kukatia ushuru ndizi ambazo zimefungashwa.

Kwa upande wake  Mkuu wa Idara ya Utumishi Bi. Christina Akyoo amewahimiza Watendaji wa Kata wanapowakaimisha nafasi ya Utendaji wa Vijiji Maafisa Ugani na Maafisa Maendeleo ya Jamii barua za kukaimishwa zitoke katika Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji.

Sambamba na hayo amewahimiza Watendaji wa Kata kuwa Mtendaji wa Kijiji anapokuwa likizo akaimishwe mtendaji wa kijiji Jirani mpaka Mtendaji wa Kijiji husika atakapokuwa amemaliza likizo yake.

Kaimu Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Ndg. Fidelis Mugarula  Kyabona amewahimiza Watendaji kuwashirikisha viongozi kuanzia ngazi za vitongoji kubuni vyanzo vya mapato  kutoka katika ngazi za chini ili viweze kujadiliwa na kutengeneza Sheria ndogo za vyanzo hivyo.

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa