• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MAMLAKA YA BANDARI (TPA) KANDA YA ZIWA YAAGIZWA KUKAMILISHA UKARABATI WA GATI MAGARINI

Imewekwa : September 25th, 2023
  • Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameiagiza Mamlaka ya Bandari Kanda ya Ziwa Kukamilisha ukarabati  wa Gati lililopo katika mwalo wa Magarini Kata ya Nyakabango Wilayani Muleba ili liweze kuendelea kutumiwa na wananchi.


Akizungumza katika ziara hiyo alipotembelea na kukagua shughuli zinazofanyika katika   Mwalo huo Waziri Mkuu amesema kuwa kukamilika kwa Gati litawasaidia wananchi kuendesha vyema shughuli zao za uvuvi, kurahisisha shughuli za usafirishaji  pamoja na kuwasaidia wajasiriamali wadogo wadogo kujiingizia kipato.


"Walipokuwa wamejenga mala ya kwanza walikuwa wamekadilia kidogo maji yalikuwa yanafunika hili Gati na kwa hiyo mvua zikiwa nyingi tutashindwa kusafiri kutoka hapa Magarini kwenda kwenye visiwa vingine na kwahiyo natoa maelekezo Mamlaka ya Bandari watenge fedha haraka waje hapa wamalize kujenga eneo hili" amesema Mhe. Kassim Majaliwa.


Lakini pia ameiagiza Halmashauri kwa kushirikiana na Mamlaka ya Bandari kukaa kikao cha pamoja kujadili na kuweka bei sawa katika maeneo ya kuhifadhia mizigo ili  kuweza kuwaondolea changamoto wananchi ya kushindwa kuamua ni wapi wanaweza kuhifadhi mizigo yao pamoja na kuisaidia Halmashauri na Mamlaka ya Bandari kuingiza Mapato yanayotokana na Maghala ya kuhifadhia mizigo.


Sambamba na hayo ameagiza kuongezwa kituo cha TANAPA katika mwalo wa Magarini ili hata watalii wanaoenda Kutalii Katika hifadhi ya Rubondo waweze kupita katika Bandari ya Magarini ambapo amemuagiza kamishna wa ardhi Mkoa kwa kushirikiana na Halmashauri wafike eneo la Magarini na kukagua eneo hilo na fursa zake ili kuweza kupata eneo la kuweka kituo cha TANAPA.



Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa