• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

KITUO CHA AFYA KAIGARA CHA THIBITISHA UTOAJA WA HUDUMA BORA KWA WAZEE

Imewekwa : June 24th, 2021

Mganga Mfawidhi wa kituo cha afya Kaigara Dr. Amlan Kite amewataja wazee kuwa ni miongoni mwa watu 

wanaopewa kipaumbele katika kupatiwa huduma bora za afya kwenye siku ya wiki ya utumishi wa umma 

alipotembelewa na wakaguzi kutoka Halmashauri ya Wilaya Muleba.


Dr. Amlan Kite amesema kwamba katika kuhakikisha wazeee wanapatiwa huduma iliyo bora wameweza

kufanikisha zoezi la kuweka bango nje ya mlango wa kuingilia kituoni hapo kwa kuandika "MPISHE MZEE

APATE HUDUMA" maneno ambayo yameandikwa kwenye bango ili kuonyesha ni kwa jinsi gani kituo cha 

Kaigara kinatekeleza jukumu la kuhakikisha kwamba mzee anapewa kipaumbele katika kupatiwa huduma

iliyobora ya kiafya.


"Ukishaingia pale mapokezi kuna kibao ambacho kimeandikwa "MPISHE MZEE APATE HUDUMA", 

tunachokifanya asubuhi mtu ambaye yupo kwenye dirisha la huduma kwa wateja anaanza kwanza na wazee

kwa kuangalia kama kuna mgonjwa mwenye uhitaji wa huduma ya haraka kama asipokuwepo tunaanza na

wazee" Ameeleza Dr. Amlan Kite.


Lakini pia ameweza kuongeza kwa kueleza ni kwa namna gani wazee wanapata huduma ya dawa ambapo

ameeleza kuwa wazee wapo kwenye makundi ya wanaolipa na wasio lipia kwa kuzitaja sifa za mzee ambaye

hatatakiwa kulipia huduma.


"Wazee tumewaweka kwenye makundi kuna makundi ambayo wazee wanalipia na wasiolipia kwa wasio lipia ili 

uweze kuwekwa katika kundi la wazee ambao hawalipii kuna vigezo huwa tunavizingatia kigezo cha kwanza

anatakiwa kuwa na umri wa miaka kuanzia sitini(60), lakini kigezo cha pili mzee asiwe na mtoto yeyote mwenye

uwezo wa kumsaidia kimatibabu na kigezo cha tatu mzee asiwe na aina yeyote ya kipato tukishajiridhisha kuwa

mzee ana vigezo hivi mzee atatakiwa kwenda kwa mwenyekiti kupatiwa baarua na huduma zake zitakuwa ziko 

huru kabisa". Ameeleza Dr. Amlan Kite.


Kwa upande wa bima ya afya Dr. Amlan Kite ameeleza kuwa kituo cha afya Kaigara kinatoa huduma ya bima 

ya aina mbili ya kwanza ni CHIF iliyoboreshwa na NHIF, na kuongeza kuwa wanajitahidi kuwa wanatoa dawa

kwa kuhakikisha kuwa mteja mwenye bima ya afya anapatiwa huduma bora.


Kwa upande mwingine Dr. Amlan Kite ameweza kuzungumzia suala la usalama katika kituo cha afya Kaigara

Dr. Amlan amesema kuwa kituo hakina uzio ila kituo kina walinzi wawili ambao wanaingia kwa zamu usiku

ili kuhakikisha usalama upo kituoni hapo.


"Hatuna uzio kwa sasa lakini bado nafikiri kwa pesa illiyopo haitatosha kumalizia lakini mbali na uzio tunao 

walinzi ambao hulinda usiku kwa hiyo kwa suala la usalama tunatumia walinzi". amemalizia Dr. Amlan Kite.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa