• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

KATIKA JITIHADA ZA KURAHISISHA UTOAJI WA TAARIFA NA KUHAMA KUTOKA KWENYE MATUMIZI YA MAKRASHA,HALMASHAURI IMENUNUA NA KUGAWA VISHIKWAMBI VIPYA 60 KWA WAHESHIMIWA MADIWANI.

Imewekwa : February 21st, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba imeendelea kutekeleza mkakati wa kuhama kutoka katika Mfumo wa Uendeshaji wa vikao kwa kutumia Makabrasha na kuanza kutumia Vishikwambi kwa lengo la kuweza kurahisisha na kupunguza gharama za uendeshaji wa vikao vyao.

Jumla ya Vishikwambi 60 vilivyonunuliwa na halmashauri ya Wilaya ya Muleba vimegawiwa kwa Wahe.Madiwani kwa lengo la kuwasaidia kuendesha Shughuli za vikao kwa kupata taarifa na kuzipitia kwa njia ya kimtandano ili waweze kuondokana na changamoto ya utumiaji wa Makbrasha.

 Akizungumza katika Mkutano wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa za Robo ya pili uliofanyika ndani ya ukumbi wa Halmashauri Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mhe. Magongo Justus amewahimiza Waheshimiwa Madiwani kutunza Vishikwambi walivyokabidhiwa ili viweze kutumika kwa matumizi yaliyolengwa. 

"Vishikwambi hivi vimetumia gharama kubwa kuvinunua na mpango wake sio wa miezi miwili wala miezi mitatu kwahiyo niwahimize kila mtu akitunze na akitumie kwa matumizi yaliyokusudiwa na sio kwa matumizi mengine" amesema Mhe. Magongo Justus.

Kwa upande wake Mkuu wa kitengo cha TEHAMA Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Ndg. Remmy Kaaro amewaeleza Waheshimiwa Madiwani kuwa ni vema wakavichaji kwanza vishikwambi vyao kabla ya kuvitumia na endapo ikitokea kishikwambi kimepata hitilafu amewahimiza kuwasilana na yeye ili kuweza kutatua changamoto hiyo.

Diwani wa Kata ya Mazinga Mhe. Edibily Alex amesema kuwa hapo awali kipindi wanatumia Makaburasha walikuwa wakikabiliwa na changamoto ya kutopata Makaburasha kwa wakati kutokana na umbali wa maeneo hasa kwa Kata za Visiwani lakini kupitia Vishikwambi wataweza kupata taarifa za vikao kwa wakati na kuweza kupata muda wa kutosha wa kupitia taarifa kabla ya kujadiliwa kwenye vikao.

kwa upande wake Mhe. Devotha Katabalwa Diwani wa Viti Maalumu Kata ya Ijumbi ameeleza kuwa kwa kawaida huwa wanatakiwa kupitia Makaburasha ndani ya siku saba kabla ya Vikao vya Baraza hivyo kupitia Vishikwambi hivyo wataweza kupata taarifa hizo na kuzipitia kwa wakati tofauti na awali walipokuwa wanatumia Makaburasha. 

Imeandaliwa na kutolewa na;

Eusebius J. Kiluwa

KAIMU MKUU  KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa