• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

KATIBU TAWALA WA WILAYA YA MULEBA ASISITIZA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIMA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI ILI KUJUA AFYA ZAO

Imewekwa : December 1st, 2022

Katika Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani yaliyofanyika Kiwilaya katika Ukumbi wa Suzana Hotel Katibu Tawala wa Wilaya ya Muleba Ndg. Greyson Mwengu amewasihi wananchi kujitokeza kupima kwa hiari maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ili waweze kujua hali ya afya zao.

Akizungumza katika maadhimisho hayo Katibu Tawala wa Wilaya ya Muleba amesema kuwa ni vema watu wakajitokeza kupima virusi vya UKIMWI hasa wanaume ambao bado mwitikio wao ni mdogo katika upimaji jambo ambalo linarudisha nyuma jitihada za serikali na wadau dhidi ya mapambano ya virusi vya UKIMWI.

"Wanawake mnajitokeza kwa wingi kujua afya zenu kuliko sisi wenye jinsia ya kiume nichukue fursa hii kuwahimiza wanaume wote hebu na sisi tujitokeze kupima afya zetu kwa sababu kupima afya ni hatua moja wa kuweza kujiimarisha kiafya mala baada ya kujua afya yako ikoje" amesema Ndg. Greyson Mwengu.

Lakini pia amesisitiza wanawake wajawazito ambao wanaishi na virusi vya UKIMWI ni vema wakazitumia kikamilifu huduma za kuzuia maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto na kwa wale ambao wameshapata maambukizi ya virusi vya UKIMWI na wameshaanza kutumia dawa za ARV wazingatie matumizi sahihi ya dawa hizo na kuzingatia lishe bora ili kuimalisha afya zao.

Sambamba na hayo amewasihi wananchi kuhakikisha wanatoa ushirikiano katika kuthibiti vitendo visivyozingatia usawa na kusababisha uvunjifu wa haki za binadamu kama ukatili wa kijinsia unaopelekea maambukizi mapya ya VVU.

Kwa upande wake Mratibu wa shughuli za kuzuia maambukizi ya UKIMWI ambaye pia ni Afisa Maendeleo ya Jamii wilaya ya Muleba Bi. Enelietha Wiliamu amesema kuwa Wilaya inaendela na mikakati ya kuhakikisha elimu inatolewa  kwa makundi lika yakiwemo makundi ya vijana na hata kwa wale aambao wananishi na VVU ili nao pia wawe mabalozi katika jamii kuhakikisha wanatoa elimu katika jamii kuhusu suala zima la kupambana na VVU.

Naye Diwani wa Kata ya Muleba ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mhe. Muhaji Bushako ameeeleza kuwa umri wa vijana ndio wapo kwenye hatari zaidi ya kupata maambukizi ya VVU hivyo ni vema vijana wakahakikisha wanajizuia kutoshiriki Ngono zembe ambazo ndio zinapeleka vijana waliowengi kupata maambukizi ya VVU.

Elivitha Bejumla Greysheni amesema kuwa kwa watu ambao wanaishi na maambukizi ya  VVU ni vema wasinyanyapaliwe bali wapewe haki za msingi kama watu wengine maana wakinyanyapaliwa inaweza kusababisha kuhatarisha maisha ya mtu anayeishi na maambukizi ya VVU kama kuchukua hatua za kujiua au kuwa na msongo wa mawazo

Katika taarifa iliyosomwa na Mratibu wa Huduma za Uzani Bi. Dovotha Rutayugo ameeleza kuwa katika kuhakikisha wanapunguza maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ni muhimu mjamzito na anayenyonyesha mwenye maambukizi ya VVU kuhakikisha anatumia dawa za kufubaza virusi kwa usahihi, kufanya kipimo cha utambuzi wa virusi katika damu, kujifungua katika kituo cha kutolea huduma za afya na mtoto atakayezaliwa apewe dawa kinga za kumlinda asiweze kupata maambukizi.

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.




Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 17-06-2025 June 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 07-05-2025 May 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa