• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

"IKIFIKA JUMAPILI HAKUNA KAZI INAYOENDELEA HAPA FUKUZA MULETE MKANDARASI MWINGINE" MHE TOBA NGUVILA

Imewekwa : May 31st, 2022

Mkuu wa wilaya ya Muleba Mhe. Toba Nguvila amewagiza Wakala wa usambazaji wa maji vijijini (RUWASA) endapo ikifika jumapili ya wiki hii Mkandarasi  hajaanza kazi asimamishwe kazi ya kutekeleza mradi wa maji wa Buganguzi wilayani Muleba.

Akizungumza katika ziara hiyo ya kukagua miradi ya maji ya RUWASA aliyoifanya katika mradi wa maji wa Buganguzi uliopo kata ya Buganguzi ambao unatarajia kuvihudumia vijiji vinne amuomba mkandarasi kuanza kazi haraka baada ya kukuta ujenzi wa kisima haujaanza katika mradi huo.

"Kama mkandarasi hata hana pesa ya kuanza kujenga mradi hauna inaonyesha ambavyo hujajipanga kutekereza mradi huu naagiza  ikifika jumapili hujaanza kazi ufukuzwe atafutwe mkandarasi mwingine wananchi hawawezi kuwa wanapata shida ya maji wakati mkandarasi hutekelezi kazi yako" amesema Mhe. Toba Nguvila.

Katika ziara hiyo pia ameutembelea mradi wa maji wa Buramula uliopo katika kijiji cha Buramula Kata ya Kamachumu na kukagua chanzo cha maji pamoja na maendeleo ya ujenzi wa visima vya maji vya mradi huo.

Akizungumza katika mradi huo ameuagiza uongozi wa eneo hilo kupanda miti mingi katika eneo hilo ili kutunza chanzo cha maji cha mradi huo wa maji ili kuweza kusaidia upatikanaji wa maji mengi ambayo yataweza kutumiwa na watu wa Kamachumu

Kwa  upande wake diwani wa Kata hiyo Mhe. Reodigadi Peter Chonde ametoa shukrani kwa Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za ujenzi wa mradi wa maji katika kata hiyo na kuhaidi kuhakikisha wanakitunza chanzo cha Maji cha Buramula.

Lakini pia Mkuu wa wilaya ameutembelea mradi wa maji wa Kagoma na,kukagua ujenzi wa kisima pamoja na chanzo cha maji cha mradi huo.

Akizungumza katika mradi huo Mkuu wa wilaya amemuagiza Mkandarasi wa mradi huo kuhakikisha anamaliza mapema mradi huo na kumueleza kuwa kama akifanya vizuri na kumaliza haraka mradi huo atakuwa na nafasi ya kupewa kazi katika miradi mingine.

Imeandaliwa na Kutolewa na;

Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa