• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

Wazee wanufaika na Pensheni kutoka Shirika la kwa Wazee Nshamba

Imewekwa : April 4th, 2018

Wazee ni kundi lililosahaulika kwa kuwa na hali duni ya kiuchumi. Baada ya kulibaini hilo Shirika la Wazee Nshamba, linalofanya shughuli zake wilayani Muleba liliona umuhimu wa kuanzisha mradi wa kuwasiadia wazee ujulikanao kama “Malipo ya Pensheni kwa Wazee” ambapo kwa kuanzia kila mzee mwenye umri wa miaka kuanzia 70 hulipwa pensheni ya TSH. 15,000.00 kwa mwezi . Mradi huu ulianza rasmi mwaka Novemba, 2016 kwa vijiji viwili vya Ikondokata Ikondo na Kijiji Nsisha kata Kikuku.

Kijiji kiliteua wanakamati  4 kwa ajili ya kusimamia malipo na akaunti benki. Aidha baada ya uteuzi vijiji vilifungua akaunti  benki na wazee walipendekeza malipo ya pensheni yawe yanafanyika kila jumanne ya kwanza ya mwezi.

Bwana Theonist Tegarugaba wa kitongoji cha Ikondo “B”, ameeleza kuwa kabla ya kuanza kupokea pensheni hii walikuwa na hali mbaya kwa kukosa fedha za kujikimu kama kununua chakula na kwenda hospitali pale wanapoumwa lakini kwa sasa pensheni imewasaidia kupata fedha za kununua chakula, kugharamia matibabu na vifaa vya shule kwa wajukuu wanaowalea.

Aidha, alieleza kutokana na malipo haya baadhi ya wanakikundi waliona ni vema kuanzisha kikundi cha watu 12 ambapo kila mwezi mwanachama uchanga Tsh. 5,000.00 kwa ajili ya kumchangia mwanachama na hivyo anayechangiwa upewa Tsh. 70,000.00 ambayo umwezesha mwanachama kufanya jambo kubwa kama kununua mabati, sementi na kujenga nyumba. Au kuanzisha mradi wa ufugaji kuku, bata na mbuzi wa maziwa.

Naye Ndugu Almachius Tiruganya Evarist, Mwenyekiti wa Kijiji Ikondo ameshukuru sana Shirika la Wazee kubaini umaskini walionao wazee na kuona umuhimu wa kuanzisha pensheni hiyo kwa wazee. Ameeleza kuwa kama kiongozi aliyechaguliwa na wananchi anasimamia ipasavyo zoezi hili na kuhakikisha kila mzee anapata fedha yake kwa wakati.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa