• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA YAPATA HATI SAFI

Imewekwa : June 17th, 2023

Katika Kikao Maalum cha Baraza la Madiwani kilichofanyika ndani ya ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kujadili taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Halmashauri ya Wilaya ya Muleba imefanikiwa  kupata hati inayoridhisha.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera Ndg. Toba Nguvila amesema kuwa mwenendo wa hati za ukaguzi unaonesha kuwa Halmashauri ya wilaya ya Muleba imefanikiwa kupata hati zinazoridhisha kwa kipindi cha miaka mitano hivyo   amelihimiza Baraza la Madiwani pamoja na uongozi mzima wa Halmashauri kuhakikisha wanalinda mafanikio ya mwaka uliopita ili wasiweze kurudi nyuma katika ukaguzi unaoendelea.

"Ni wito wangu kwenu kuhakikisha mnaendeleza mwenendo wa utendaji kazi mzuri kwa kuepuka utendaji wa mazoea na usiozingatia taratibu kwa lengo la kuepuka hoja zisizo za lazima zinazoweza kupelekea mkapata  hati ya mashaka" amesema Ndg. Toba Nguvila

Aidha, ameipongeza Halmashauri kwa kuvuka malengo ya ukusanyaji wa mapato ambapo kwa mwaka wa fedha 2022-2023 Halmashauri ilipanga kukusanya mapato ya ndani kiasi cha Tsh.bilioni 5.7 na kufanikiwa kukusanya kiasi cha Tsh.bilioni 5.8 sawa na asilimia 101 ya lengo la mwaka.

Lakini pia  amewahimiza Waheshimiwa madiwani kuhamasisha na kuhakikisha kuwa ulipaji wa kodi na tozo za Halmashauri unatekelezwa katika maeneo yao na kuhakikisha mapato yote yanayotozwa katika Halmashauri yanakatiwa sitakabadhi za mashine ya EFD.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mhe. Magongo Justus amesema kuwa hati safi imetokana na usimamizi madhubuti uliofanywa na Halmashauri ambapo kwa kipindi hiki Halmashauri ya wilaya ya Muleba imejaribu kuishirikisha jamii kuhakikisha kwamba  kila mradi unaotekelezwa katika ngazi ya kijiji unakuwa na kamati za usimamizi na utekelezaji pamoja na usimamizi uliofanyika kwa watendaji waliopo katika ngazi za vijiji kuhakikisha  wanatoa taarifa za maendeleo ya miradi.

Halmashauri ilikuwa na hoja za nyuma  jumla  45 ambapo kati ya hizo hoja 19 zimetekelezwa na kufungwa, hoja 12 bado zipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji na  na hoja 12 zimeondolewa na Mkaguzi kwa sababu mbalimbali na kubakiwa na hoja 2 ambazo hazijatekelezwa.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa