• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

DC, NGUVILA AIPONGEZA HALMASHAURI KWA KUWA NA HATI INAYORIDHISHA

Imewekwa : July 1st, 2021

 Mkuu wa Wilaya ya Muleba kwa sasa Mh. Toba Alnason Nguvila ambaye amekaimu nafasi ya Mkuu wa Mkoa  ameupongeza uongozi wa Halmashauri  ya Wilaya Muleba kwakufikia kiwango cha kuwa miongoni mwa Halmashauri zenye hati inayoridhisha. 

Mh. Nguvila amezungumza hayo kwa mara ya kwanza wakati wa kikao cha baraza la madiwani cha kujadili hesabu za mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha 2019/20 kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera.

Mh. Nguvila ameeleza kuwa alipokea taarifa ya Mkaguzi wa hesabu za serikali(CAG) ya mwaka 2019/20 na kubaini kuwa Halmashauri ya wilaya ya Muleba ni moja kati ya Halmashauri sitaza mkoa wetu zilizopata hati inayoridhisha.

"Nilipokea taarifa ya (CAG) ya mwaka 2019/20 na baada ya kusoma nimebaini kuwa Halmashauri ya wilaya ya Muleba ni moja kati ya Halmashauri sita za Mkoa wetu zilizopata hati inayoridhisha".Amesema Mh. Nguvila.

Ameongeza kwa kueleza kuwa Mkaguzi alibainisha masuala mawili ya msisitizo katika taarifa yake kwa Halmashauri ya Wilaya Muleba ambayo watendaji waliyafanyia kazi na kuwasilisha kwa mkaguzi."Matokeo haya ni matunda ya ushirikiano baina ya viongozi na watendaji, ofisi ya Mkuu wa Wilaya na vyombo vyote vya usalama katika kusimamia raslimali za umma na uwajibikaji katika wilaya yetu ya Muleba" Ameongeza Mh. Nguvila.

Lakini pia Mh. Nguvila amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Muleba, wakuu wa Idara na vitengo vyote pamoja na waheshimiwa madiwani wote wa Halmashauri ya wilaya ya Muleba kwa uongozi na utendaji mzuri na kuwatakia kuendeleza umoja na Mshikamano kwa manufaa ya wananchi wa Muleba. 

Kwa upande mwingine Mh. Nguvila amesema kuwa kwa Halmashauri inayofanya vizuri ni halmashauri ya wilaya ya Muleba na kuitaka Halmashauri kulinda hali hiyo ili kuweza kuendelea kuwa vinara kila mwaka na amehaidi kuwa yote haya yatatokana na mshikamano, ushirikiano, upendo, utulivu na kusimamia vizuri wataalamu. 

Aidha, Mh. Nguvila amewaomba madiwani kuendelea kushirikiana na ofisi ya mkuu wa Wilaya katika kutatua changamoto zinazojitokeza hususani za kimaendeleo na hata za kitaalamu ili kuongeza udhibiti wa mapato yanayokusanywa pamoja na kuimarisha usimamizi wa raslimali utumishi na fedha za miradi ili kupata thamani ya fedha na wananchi kupata manufaa ya miradi husika kwa wakati.






Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa