• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

DC,AWAAGIZA KAMATI YA KIKOSI KINACHUHUSIKA NA OPARESHENI YA KUWAONDOA WAKAZI WALIOVAMIA MAENEO YA VITALU KUFUATA UTARATIBU MZURI ILI KULINDA AMANI

Imewekwa : January 9th, 2022


Mkuu wa wilaya ya Muleba Mhe. Toba Nguvila amewaagiza Kikosi cha Askari wa polisi pamoja na viongozi wa NARCO. wanaohusika na oparesheni ya kuwaondoa wakazi wasiolasmi kwenye maeneo ya vitalu vya Mifugo kufuata utaratibu ili amani iweze kuendelea kuwepo katika kata ya Rutolo iliyopo katika eneo la lanchi ya Mifugo ya Kagoma.

Hayo yamezungumzwa na Mkuu wa wilaya Baada ya kwenda na kufika sehemu hiyo na kukuta wakazi wa eneo hilo wakilalamika kuchomewa na nyumba zao na mashamba yao kufyekwa na askari wanaohusika na oparesheni hiyo.

"Sihitaji machafuko kwenye wilaya ya Muleba sihitaji mauaji kwenye wilaya ya Muleba hatuwezi kila siku tukawa tunashinda Rutolo ni lazima ifike hatua tuweke utaratibu mzuri ili kusudi amani iwepo" amesema Mhe" Toba Nguvila.

Aidha, Mkuu wa Wilaya ameongeza kwa kusema kuwa vijiji vile vya Rutolo, Kyobuheke, Byengeregere na kijiji cha Zambia ni vijiji ambavyo vinafahamika ambapo amesema kuwa katika vijiji hivyo kama kuna Senta senta ambazo zina watu wabaki labda tu kwa maeneo ambayo watu watakuwa wamejenga nyumba moja moja maeneo hayo watu wasibaki.

Lakini pia Mhe Mkuu wa wilaya amewahimiza watu wa NARCO kuhakikisha wanajiridhisha na usalama wa eneo kwa kuhakikisha wanaangalia usalama wa eneo pamoja na kutambua wanaoingia wageni na wanaopangisha ni wat u wa aina gani ili kuweza kuepukana na mapungufu yanayoonekana sasa hivi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Muleba Ndg. Athuman Kahara amewaomba Shirika la NARCO pamoja na wawekezaji kuwa wazalendo kuhakikisha na wao wanashiriki kwa namna mbalimbali katika kuchangia maendeleo ya wananchi na wilaya kwa ujumla.

Naye Afisa TAKUKURU wa wilaya ya Muleba Ndg. Said Lipunjaje ameomba oparesheni iendelee kwa kuzingatia maelekezo waliyopewa ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanarinda haki za mwanadamu na kwa yale mapungufu ambayo yapo yafanyiwe.

Mwisho Kiongozi wa kikosi kinachohusika na oparesheni hiyo amesema kuwa watafanya kazi vizuri hasa kwa kuzingatia kile ambacho wameelekezwa kutekeleza ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanarinda masilai ya nchi,  masilai ya Watanzania pamoja na masilai ya wawekezaji.

Imeandaliwa na kutolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wilaya ya Muleba

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa