• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

DC NYAMAHANGA AMALIZA MGOGORO WA ARDHI KATI YA KIJIJI BUREZA NA KIJIJI KASHENO

Imewekwa : April 18th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mhe Dkt. Abel Nyamahanga amemaliza  mgogoro wa ardhi uliodumu kwa mda mrefu kati ya kijiji Bureza kilichopo Kata ya Bureza na Kijiji Kasheno Kilichopo kata ya Magata Karutanga.

Mkuu wa Wilaya amewaeleza wananchi kuwa Mgogoro huo ulikwisha tatuliwa na uongozi wa wilaya kwa kikao kilichofanyika tarehe 28/05/2019 na kuhudhuliwa na viongozi wa vijiji hivyo pamoja na waheshimiwa madiwani na kwa mujibu wa barua ya tarehe 04/06/2010 Halmashauri za  vijiji vyote viwili  vilipewa maelekezo kuwa mipaka wa vijiji hivyo inatengwa na mabonde.

Aidha, ameusihi uongozi wa Halmashauri ya Kijiji Bureza na Kijiji Kasheno kuheshimu utatuzi wa mgogoro huo kama ulivyotatuliwa mwaka 2010 na kuisihi Halmashauri ya Kijiji Bureza kuendelea kuitunza mipaka na kuzuia uvamizi wa ardhi na kuendelea kuitumia ardhi hiyo kama ilivyoanishwa kwenye mpango wa matumizi bora ya ardhi ya Kijiji cha Bureza.

''Naomba wananchi wote tuheshimu maamuzi ya utatuzi wa mgogoro huu na sitegemei kama ntarudi hapa watendaji wa vijiji, watendaji wa Kata wenyeviti wa Vijiji naombeni myasimamie haya sitegemei kurudi hapa nikirudi ntarudi kwa namna nyingine" amesema Mhe Dkt. Abel Nyamahanga.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Magata Mhe. Yakubu Mahamudu amesema wataendelea kuheshimu na kufuata taratibu pasipo kuleta migogoro kama alivyoagiza Mkuu wa Wilaya.

Naye Diwani wa Kata ya Bureza Mhe. Diocres Nsinde amewasihi wananchi wa vijiji hivyo kuendelea kuwa na ushirikiano wa pamoja na kuendelea kutunza mipaka hiyo kama ilivyoelekezwa.

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa