• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MADIWANI WASISITIZWA KUSIMAMIA IPASAVYO MRADI WA TASAF

Imewekwa : August 10th, 2021

Mkuu wa wilaya ya Muleba Mh. Toba Nguvila amewasihi viongozi wa wilaya ya Muleba kusimamia ipasavyo na kuhakikisha jamii ya Muleba inaondokana na umaskini na kupata huduma bora ikiwemo elimu na afya.

Mradi wa TASAF Awamu ya pili umelenga kuendelea kuinua kaya maskini kutoka katika umaskini/hali duni na kuwawezesha walengwa kupata kipato cha kuwainua kimaisha kuweza kumudu mahitaji yao binafsi ya kila siku.

Akitoa neno kwa Wabunge, Waheshimiwa Madiwani, wakuu wa Idara na Wataalamu wanaotekeleza mradi wa TASAF awamu ya pili amewataka waheshimiwa Madiwani kusimamia na kuhakikisha walengwa watakaopendekezwa na jamii wawe ni wanufaika sahihi wenye uhitaji na sio kuchagua watu ambao sio sahihi.

"Mradi huu umekuja wakati muafaka kwa lengo la kuwaondolea umaskini wananchi wetu. Waheshimiwa Madiwani nyinyi ni watu muhimu  sana katika jamii nawasihi hakikisheni mradi huu wa TASAF mna usimamia ipasavyo kama Serikali ilivyokusudia tuweze kuyafikia Malengo", alieleza Mhe. Toba Nguvila.

Aidha ameishukuru Serikali chini ya uongozi wa Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwainua wananchi na kuwaondolea umaskini hivyo kama viongozi wa wilaya ni kuhakikisha mradi huu unasimamiwa ipasavyo na kuleta matokeo chanya kama ilivyokusudiwa.

Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Magongo Justus amewasihi Waheshimiwa Madiwani na wataaalamu kusikiliza kwa umakini na kwenda kutekeleza kama walivyoelekezwa na wawezeshaji wa TASAF makao makuu.

Naye Mbunge wa Jimbo la Muleba Kaskazini Mhe. Charles Mwijage amesisitiza wawezeshaji wa mradi wa TASAF awamu ya pili wasiishie tu kuwapa fedha walengwa bali wawape na elimu ya ujasiliamali ili wahitaji hao waweze kuondokana na umaskini.

Semina hii imefanyika leo tarehe 10.08.2021, katika ukumbi wa Suzana Hotel.

Imetolewa na Kitengo cha: Habari na Mawasiliano

Halmashauri ya wilaya ya Muleba


Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa