• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

MKUU WA WILAYA AWAHIMIZA MADIWANI KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO ILI KUWEZA KULETA MAENDELEO YA HALMASHAURI

Imewekwa : October 3rd, 2023
  • Katika Kikao cha Balaza la Madiwani kilichofanyika ndani ya Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kujadili Taarifa za kufunga mwaka wa fedha 2022/2023 Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mhe. Dkt Abel Nyamahanga amewahimiza Madiwani kufanya kazi kwa ushirikiano na Wataalamu wa Halmashauri katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali ili kuweza kuleta maendeleo.


Akizungumza katika Kikao hicho Mkuu wa Wilaya amewaeleza waheshimiwa Madiwani kuwa wakifanya kazi za maendeleo kwa kushirikiana kama familia moja katika kutekeleza majukumu ya Serikali na  kila mtu akafanya majukumu yake kama alivyokabidhiwa majukumu hayo basi watakuwa wamesaidia kukuza maendeleo ya Halmashauri.


"Tunapoingia katika utekelezaji wa majukumu ya kimaendeleo wote kwa pamoja sisi ni familia moja  na tukiwa familia moja tunaweza lakini tukifanya kazi kwa kutengana hatutoweza kukidhi kiu ya wananchi ya kuwaletea maendeleo hivo ni vema tukafanya kazi kwa ushirikiano ili kuweza kuleta maendeleo kwa wananchi na Serikali kwa ujumla" amesema Mhe. Dkt Abel Nyamahanga.


Aidha, amewahimiza waheshimiwa Madiwani kwa kushirikiana na Watendaji wa Kata, Maafisa Tarafa pamoja na Wenyekiti wa Vijiji  kutoa elimu kwa vijana kushiriki katika shughuli za uzalishaji kama kilimo na shughuli nyingine mbalimbali zinazoweza kuwasaidia kuinuka kiuchumi na kuweza kuwapatia mapato ambayo yataweza kuwasaidia kukidhi mahitaji yao kuliko kukaa mitaani bila kujishughulisha.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mhe. Magongo Justus ametoa wito kwa Wataalamu kuongeza umakini zaidi katika usimamizi wa shughuli mbalimbali za utekelezaji wa miradi inayofanyika ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.



Akitoa Salamu za Pongezi kwa Mkuu wa Wilaya Mhe. Kalinjuma Kamili Diwani wa Kata ya Mbunda ameeleza kuwa Halmashauri tayari imeweka mkakati wa kuanzisha vyanzo vipya vya mapato ikiwa ni pamoja na kujenga masoko lakini ameongeza kwa kusema kuwa Halmashauri inampango wa kununua Boti itakayotumika kwa ajili ya kutatua changamoto ya usafirishaji wa wananchi wanaoishi visiwani.



Katika Taarifa iliyosomwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Dkt. Peter Nyanja amesema kuwa kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Halmashauri imefanikiwa kukusanya kiasi cha Tsh. Bilioni 7.08 ambapo jumla ya kiasi cha Tsh. Bilioni 2.1 zimepelekwa katika utekelezaji wa  shughuli mbalimbali  za maendeleo na fedha za ruzuku kutoka Serikali kuu Halmashauri ilipokea kiasi cha Tsh. Bilioni 14.2 kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo.


Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.











Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa