• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

DC, AIAGIZA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MULEBA (MULWASA) KUPANDA MITI AMBAYO NI RAFIKI KWENYE VYANZO VYA MAJI

Imewekwa : April 6th, 2023

Katika ziara ya kutembelea na kukagua vyanzo vya maji vilivyopo Wilayani Muleba Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mhe. Dkt Abel Nyamahanga ameiagiza Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Muleba( MLUWASA) kupanda miti ambayo ni rafiki kwenye vyanzo vya maji ili kusaidia upatikanaji wa maji kwa wananchi.

Akizungumza alipotembelea vyanzo hivyo vya maji Mkuu wa Wilaya amesema kuwa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya kwa kushirikiana na (MLUWASA) na wananchi wanaozunguka maeneo ya chanzo cha maji Kaigara siku ya alhamisi tarehe 13/04/2022 wataenda kupanda miti rafiki ambayo itasaidia kutunza  chanzo hicho cha maji  ili kiweze kudumu kwa mda mrefu.

"Nitoe wito kwa wanachi waheshimu utawala wa sheria waheshimu vyanzo vya maji wapishe maeneo yenye vyanzo vya maji ili viendelee kuwa salama katika maeneo yetu" amesema Mhe. Dkt Abel Nyamahanga.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Muleba Ndg. Evodius Mtakyamilwa amesema kuwa lengo la (MLUWASA) ni kuhakikisha wananchi wa Muleba Mjini wanapata huduma ya maji asilimia 95 na mpaka sasa asilimia 80.5 ya wananchi wanapata huduma ya maji ila  changamoto inayopelekea kutofikia malengo hayo ni uvamizi wa vyanzo vya maji.

Hivyo  amesema kuwa wataendelea na jitihada za kuwaelemisha wananchi kuhakikisha wanapata huduma bora za maji kwa kuepuka kufanya shughuli za kibinadamu maeneo yote yanazunguka vyanzo vya maji hasa kulima pamoja na kujenga nyumba kwenye vyanzo vya maji.

Katika Ziara hiyo Mkuu wa Wilaya pamoja na Kamati yake ya ulinzi na Usalama ya Wilaya  wametembelea na kukagua vyanzo vya maji vitatu ambavyo ni chanzo cha maji Ihako, chanzo cha maji Nyamwala na chanzo cha maji Kaigara.

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 17-06-2025 June 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 07-05-2025 May 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa