• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

DC ABEL NYAMAHANGA ASISITIZA KUBUNI MBINU MPYA YA KUPAMBANA NA UVUVI HARAMU

Imewekwa : February 15th, 2023

Katika Mkutano wa baraza la Madiwani uliofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mhe. Dr Abel Nyamahanga amewasisitiza Madiwani kushirikiana na viongozi pamoja na kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya kubuni mbinu mpya ya kupambana na uvuvi haramu.

Akizungumza katika mkutano huo Mkuu wa Wilaya amewasisitiza kuwa kila anayetumwa kutekeleza majukumu ya kupambana na uvuvi haramu atende kazi hiyo kwa uadirifu kama inavyostahili ili kuweza kuhakikisha suara la uvuvi haramu linaisha kabisa katika Wilaya ya Muleba.

"Asipatikane hata mtu mmoja ambaye analifumbia macho suala hili na mapambano yake lazima yawe endelevu na tuongeze kasi zaidi ya kubuni mbinu mpya maana hawa wanaojihusisha na Uvuvi haramu na wao kila siku wanabuni mbinu mpya" amesema Dr Abel Nyamahanga.

Aidha, ameshauri ukusanyaji wa makokoro na uteketezaji wake uwe wa wazi ambapo amesistiza kama makokoro yakikamatwa ijulikane na sehemu yalikochomewa.

Lakini pia ameagiza kuchukuliwa kwa juhudi za kuweza kuwabaini wanaoshirikiana na wavuvi haramu ili hatua stahiki za kinidhamu zichukuliwe dhidi yao.

Sambamba na hayo ameagiza wenyekiti wa vijiji kuhakikisha wanasoma mapato na matumizi kwa wananchi ambapo amesisitiza kuwa ifikapo tarehe 30/03/2023 kila anayehusika na kusoma mapato na matumizi katika sehemu zake za vijiji awe amekwisha kusoma na taarifa zifike ofisi ya Mkuu wa Wilaya.

Lakini pia amesema kuwa ni vema ukawepo uanzishwaji wa benki za matofari kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu katika mashule ambayo hayana nyumba za walimu ili kuweza kuwasaidia walimu kutenda majukumu yao katika mazingira yaliyo bora.

Imetolewa na:

kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.



Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 17-06-2025 June 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MULEBA 07-05-2025 May 07, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa