• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

DC, AAAGIZA TAXI BUBU KUONDOLEWA MULEBA

Imewekwa : May 11th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Muleba Mhe. Toba Nguvila amepiga marufuku na kuagiza TAXI bubu zilizopo Muleba zote ziondolewe ili kupunguza changamoto kwa madereva wenye vyombo vilivyosajiliwa kukosa abilia kutokana na uwepo wa TAXI bubu alipokutana na Madereva katika Ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Muleba.

Akizungumza katika Mkutano huo amemuagiza OCD kushirikiana na Afisa Biashara kuhakikisha TAXI zinakuwa na maegesho yake na kwenye maegesho hayo ameagiza zipaki TAXI ambazo zimesajiliwa sio TAXI bubu.

" TAXI bubu ambazo hazilipi kodi ya Serikali na hata mfumo wa LATRA hazifahamiki iko hatari wanaweza kupakia abiria wakapotea naye kwa sababu hawatambuliki popote kwahiyo kuanzia leo sitaki kuona TAXI bubu ndani ya wilaya yangu ya Muleba." amesema Mhe. Toba Nguvila.

Aidha Mkuu wa wilaya amemuagiza OCD kuhakikisha stendi anawekwa polisi kwa ajili ya kulinda amani na kusimamia watu na mali zao mda wote magari yatakapokuwa yanaingia na kushusha mizigo pale kwenye stendi kuu ya Muleba.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa wilaya ya Muleba Ndg. Greyson Mwengu amewaomba Madereva kutoa ushirikiano kwa kutoa taarifa pale watakapokuwa wanachangamoto ili vyombo viweze kuchukua hatua za kisheria ili kuweza kuondoa changamoto ya TAXI bubu

Naye Shedrack Malale Afisa mfawidhi wa Latra Mkoa wa Kagera ametoa ufafanuzi kwa kuwaeleza Madereva kuwa Sheria ya TAXI inamtaka mwenye TAXI kuchora mkanda kwenye TAXI yake kuweka TAXI (kebo) kiashiria cha TAXI pamoja na kuwa na namba ya Ubavuni inayotolewa na Halmashauri.

Afisa Biashara wa wilaya ya Muleba amewaeleza Madereva kuwa egesho linalotumika kuegesha magari aina ya TAXI ni egesho ambalo lipo kisheria na kuongeza kuwa  changamoto iliyopo ni kuhakikisha TAXI zote ambazo hazina usajiri kuondolewa.

Imeandaliwa na Kutolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wilaya ya Muleba

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa