• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

CHUO CHA VETA NDOLAGE CHAPENDEKEZA KUPEWA HADHI YA KUWA CHUO CHA WILAYA

Imewekwa : June 24th, 2021

Mkuu wa chuo cha VETA Ndolage Eng. Machumu K. Machumu ameomba ushirikiano na  uongozi wa Halmashauri 

ya Wilaya Muleba kukipa hadhi chuo cha VETA Ndolage kuwa Chuo cha wilaya katika siku ya madhimisho ya wiki 

ya Utumishi wa Umma alipotembelewa Chuoni hapo.


Eng. Machumu K. Machumu amewambia wakaguzi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kuwa chuo cha VETA

Ndolage kikipandishwa hadhi kuwa Chuo cha Wilaya miundombinu inayokosekana lazima itawekwa ili kiweze kufikia 

hadhi inayostahili kuwa kabisa chuo cha wilaya.


"Kama hiki mkishasema ni chuo cha wilaya lazima miundombinu yote inayokosekana itawekwa ili kuweza kufikia ubora

wa kuwa kabisa chuo cha wilaya, kwa mfano vyuo vingine ambavyo ni vikubwa kabisa unakuta wanatumia mifumo ya 

SPJ kwa hiyo nafikiri nyinyi mkishaomba kuwa chuo cha VETA  Ndolage kiwe cha wilaya basi na sisi tutakuwa na uwezo 

wa kufikia hadhi  kubwa kama vyuo vya vyeta vingine". ameeleza Eng. Machumu K. Machumu.


Katika ripoti yake Eng. Machumu K. Machumu ameweza kuwaeleza wakaguzi baadhi ya huduma zitolewazo Chuoni hapo

ni pamoja na mafunzo ya mda mrefu miaka miwili (2), katika fani nne (4) ambazo ni Uhazili, Uashi, Uungaji vyuma na 

Teknolojia ya nguo kwa masomo ya kutwa na vilevile ameweza kueleza kuwa Chuo mafunzo kinatoa mafunzo ya mda 

mfupi katika fani za Ufugaji, Kilimo, Uashi, Kompyuta, Uungaji vyuma, Uhazili na Teknolojia ya nguo. 


Mbali na hayo Mkuu wa Chuo cha VETA Ndolage  amesema kuwa Chuo kinatoa  huduma mbalimbali nje ya mafunzo 

ya kawaida kama vile kufanya shughuli za Ujenzi, Kushona sare za shule  mbalimbali pamoja na kutengeneza bidhaa

za chuma  kama vile mageti madirisha na milango.


Aidha, Mkuu wa Chuo cha VETA  Ndolage ameweza kuongeza kwa kueleza kuwa Chuo cha VETA Ndolage pia kinatoa 

mafunzo ya ziada ikiwa ni pamoja na kutengeneza Wine kwa kutumia ndizi pamoja na kutengeneza vitafunwa kama

clips zinazotokana na zao la ndizi, na kueleza kuwa mafunzo hayo hutolewa na watu wa SIDO kwa kushirikiana na 

walimu wa VETA.


"Ikifika mda wa kuanzia saa nane mchana kuna watu wengi kama mia nne (400) huja chuoni hapa kwa ajiri ya kujifunza

kutengeneza Wine kwa kutumia ndizi pamoja na kutengeneza Clips kama vitafunwa vinavyotokana na zao la ndizi na 

wanaotoa mafunzo ni watu wa SIDO kwa kushirikiana na walimu wa VETA na baada ya mafunzo tunategemea watu 

watatengeneza vikundi ili waanze kuzalisha bidhaa zinazotokana na ndizi". amemalizia Eng. Machumu K. Machumu.



Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa