• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

BARAZA LAPOKEA TAARIFA YA HESABU ZA MWISHO ZA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

Imewekwa : October 7th, 2023

Katika  Mkutano wa Baraza la Madiwani uliofanyika ndani ya ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Kupitia Taarifa ya hesabu za mwisho za Halmashauri kwa Mwaka wa fedha 2022/2023  Baraza la Madiwani limepokea na kuridhishwa na Taarifa ya Hesabu za Mwisho za Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2022/2023.


Akizungumza Katika Baraza hilo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mhe.Magongo Justus amewaeleza Waheshimiwa Madiwani kuwa watakwenda  kujifunza namna bora ya kutambua miradi na namna bora ya kufanya tathmini ya miradi ili kuweza kuwasaidia kuwajengea uwezo mzuri wa kusimamia miradi.


"Taratibu zifanyike kusudi hawa waheshimiwa Madiwani waweze kutoka na kwenda kujifunza namna bora ya kutambua miradi na kuifanyia tathmini na tukishatoka kwenye mafunzo haya Muleba itapanda zaidi kwenye mapato kwa sababu tayari itakuwa na watu wenye uelewa na watu wenye uwezo wa kutathmini miradi " amesema Mhe. Magongo Justus.


Kwa upande wake Mhe. Reodgard Peter Chonde Diwani wa Kata ya Kamachumu ameeleza kuwa wao kama Madiwani ni lazima wawe na ujuzi katika usimamizi wa miradi na  baada ya ziara ya kwenda kujifunza namna bora ya  usimamizi wa miradi itawasaidia kuwa na elimu na uzoefu wa kutosha kuhusiana na namna bora ya usimamizi wa miradi.



Naye  Mhe. Elton Isaya Diwani Kata Kibanga amesema kuwa hapo awali walikuwa wanapata changamoto wakati ilipokuwa  ikaletwa miradi kwenye Kata zao ambayo   hawana  uelewa wa kutosha kuhusu miradi hiyo kwahiyo wanaamini kuwa wakijengewa uwezo itawasaidia kuleta maendeleo kwa wananchi na kukuza Halmashauri.


Imetolewa na.

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.


Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa