• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KIASI CHA TSH. BILIONI 71.5 KUTUMIKA KATIKA MWAKA WA FEDHA 2023-2024

Imewekwa : January 24th, 2023

Katika Baraza la Madiwani lililofanyika ndani ya Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kujadili mapendekezo ya Mpango wa Bajeti ya mwaka 2023-2024 baraza limepitisha kiasi cha Tsh. Bilioni 71.5 kutumika katika uendeshaji wa shughuli mbalimbali za Halmashauri katika mwaka wa fedha 2023-2024.

Akizungumza baada ya kupitisha kiasi hicho cha fedha Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mhe. Magongo Justus amesema kuwa asilimia arobaini ya fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri zitaenda kutekeleza shughuli za maendeleo kwa wananchi na kiasi kingine cha fedha kitaenda kwenye matumizi ya mishahara ya watumishi wa mda pamoja na uendeshaji wa shughuli za Halmashauri.

"Sasa tumejiwekea dira inawezekana isifikie asilimia mia moja kwa sababu ndo tunaenda kutafta inawezekana tukapata asilimia mia moja au tusipate asilimia mia moja lakini angarau tuna dira ya kwamba tunataka kufikia mahali flani"

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Muleba Ndg. Greyson Mwengu amelipongeza baraza hilo kwa kuvitambua vyanzo vya mapato na kiasi cha mapato yatakayokusanywa na maeneo mapato hayo yameelekezwa ku

"Msipo kuwa na utaratibu au msipotengeneza utaratibu wa nini unachokitaka katika mwaka wa fedha unaoingia huwezi kujua unaenda kutumia nini hivyo ni lazima ujue vyanzo vyako vya mapato ni vipi na utakusanya mapato kiasi gani na utaelekeza katika maeneo yapi na suara ni suara la Kisheria ambalo Baraza hili limetekeleza kwa siku ya leo " amesema Ndg. Greyson Mwengu.

Reodigadi Peter Chonde Diwani wa Kata ya Kamachumu amesema kuwa kwa kiasi ambacho kimepitishwa kinakwenda kukidhi maeneo yote muhimu ambayo yanafaa ikiwemo miundombinu ya elimu na ikiwa ni pamoja na ujenzi wa vyumba vya madarasa na utekelezaji wa miradi mbalimbali.

Alexander Petro Diwani wa Kata ya Bisheke amesema kuwa katika bajeti hiyo itasaidia katika ujenzi wa vyoo katika shule za Msingi ambavyo vilikuwa changamoto na kusaidia kuboresha maendeleo ya wananchi.

Katika Mwaka wa fedha 2023-2024 Halmashauri imepitisha kiasi cha Tsh. Bilioni 71.5 ambapo kiasi cha Tsh. Bilioni 64.9 zitakuwa ni fedha za ruzuku kutoka Serikali Kuu na Kiasi cha Tsh. Bilioni 6.6 kitakusanywa na Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Imetolewa na:

kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa