• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

"TUCHAPE KAZI KWA BIDII UMAHILI NA WEREDI KWA KASI INAYOHITAJIKA" RC CHARLES MBUGE

Imewekwa : May 1st, 2022

Katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi yaliyofanyikKimkoa wilayani Muleba katika Ukumbi wa Suzana Hotel Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Charles Mbuge amewahimiza wafanyakazi kuendelea kufanya kazi kwa kiwango na kwa weredi.

Akizungumza maadhimisho hayo Mkuu wa Mkoa amesema kuwa wafanyakazi wanatakiwa kufanya kazi kwa bidii,umahili na weredi kwa kasi inayohitajika ili kupunguza malalamiko kutoka kwa wateja wetu.

"Sisi ni wateule wachache ambao tumebahatika kuteuliwa kufanya kazi kwa Watanzania wenzetu ni vema tusiwahi kutoka kazini tukifanya hivo tutakuwa tumetimiza wajibu wetu na kuiachia serikali yetu sikivu ili iweze kufufikilia katika masilahi na changamoto zilizopo katika maeneo yetu ya kazi" amesema Meja Jeneral Charles Mbuge.

Aidha, Mkuu wa Mkoa ameeleza kuwa miongoni mwa mambo yaliyofanywa na serikali katika kuboresha masilahi ya watumishi ni pamoja na kutunga sera mpya za malipo ya mishahara na motisha kwa watumishi wa umma na kuundwa kwa bodi ya mishahara katika utumishi wa umma.

Lakini pia amewambia wafanyakazi kuwa tayari serikali imeshatoa maelekezo kwa mifuko yote ya jamii kuhakikisha wafanyakazi pale wanapostaafu wanapatiwa mafao yao kwa wakati.

Sambamba na hayo ametoa wito kwa wafanyakazi wote kuhakikisha wanatimiza wajibu wao kwa kuwaeleza kuwa haki inakwenda sambamba na wajibu hivyo   kila mtu anatakiwa kuhakikisha  anatimiza wajibu wake kwa kufanya kazi kwa bidii maarifa na kuondoa ubinafsi ambao ni sumu kubwa kwa wafanyakazi.

Akizungumzia Mabaraza ya wafanyakazi amewaagiza waaajili wote wa Mkoa wa Kagera kuhakikisha Mabaraza yote yanakuwa hai ikiwa ni pamoja na kufanya kazi kwa mujibu wa sheria pamoja na kukutana mala mbili kwa mwaka.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Muleba Mhe. Toba Nguvila ametoa rai kwa wafanyakazi waliotunukiwa tuzo za utendaji kazi bora kuendelea kutimiza majukumu mbalimbali ya waajili wao wanapokuwa kazini kwa kudumisha nidhamu na uchapakazi mzuri wa kazi ili kuongeza ufanisi kwenye maeneo yao ya kazi.

Imeandaliwa na Kutolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano Wilaya ya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa