• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Mhe.Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha
      • gallery

OFISI YA MKURUGENZI YAAGIZWA KUWATAFTIA ENEO LITAKALOWAFAA WAFANYABIASHARA WA SOKO LA KARIAKOO

Imewekwa : March 11th, 2023

Katika Mkutano wa hadhara uliofanywa na Mkuu wa Mkoa Mhe. Albert Chalamila ameiagiza ofisi ya Mkurugenzi kuwataftia eneo litakalowafaa Wafanyabiashara wa soko la Kariakoo lilopo katika Muleba mjini katika kipindi cha ukarabati wa soko hilo.

Akizungumza katika Mkutano huo Mkuu wa Mkoa ameagiza pia zoezi la ukarabati wa soko hilo kufanyika kwa wakati na kukamilika haraka ili wananchi waweze kurudi katika soko hilo na kuendelea na biashara zao kama ilivyokuwa awali.

"Kama mnahisi kuna jambo gumu bado lipo kuhusu kuhama na kupisha eneo la Soko kwa ajili ya ukarabati rudini tena kwenye vikao mkae tena na kuona ni kwa namna gani litatafutwa eneo ambalo litafaa kwa ajili ya kufanya biashara zenu" amesema Mhe. Albert Chalamila.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Mhe. Magongo Justu ameeleza kuwa baada ya uchakavu wa miundombinu ya soko la Kariakoo ambalo linamilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Muleba na kilitengwa kiasi cha Tsh. milioni 145 kwa ajili ya ukarabati wa soko.

 Lakini pia ameongeza kwa kusema kuwa  kwa awamu ya pili itabadirishwa sura ya mbele ya soko hilo ambalo litajengwa kwa mwonekano wa ghorofa ambapo Halmashauri imetenga kaisi cha Tsh. milioni 350 na eneo ambalo limetengwa kwa ajili ya wafanyabiashara ni eneo la Omkalyambwa ambapo tayari vyoo vimejengwa na TANESCO wako kwenye mpango wa kupeleka umeme katika eneo hilo.

Sambamba na hayo Mwenyekiti wa Halmashauri amesema kuwa watakaa na wafanyabiashara na kujadiliana kwa pamoja kuona ni kwa namna gani watakaa sehemu salama ya kufanyia biashara zao wakati ukarabati wa soko hilo utakapokuwa ukifanyika.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba Ndg. Elias Kayandabila amesema kuwa bado ukarabati wa soko hilo haujaanza bali watakaa nao kujadiliana lakini sio kwamba ndo wametolewa katika eneo hilo.

Naye Diwani wa Kata ya Muleba Mhe. Muhaji Bushako ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba amewaeleza wafanyabiashara kuwa wote watapangwa katika eneo ambalo limepangwa na watawadhibiti wote watakaoekwenda mitaani kuwaharibia biashara yao.

Imetolewa na:

Kitengo cha Habari na Mawasiliano,

Halmashauri ya Wilaya Muleba.

Matangazo ya kawaida

  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU NAFASI MOJA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III NAFASI SABA November 22, 2023
  • MATOKEO YA USAILI WA NAFASI YA UDEREVA II NAFASI NNE November 22, 2023
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI YA MULEBA YASAINI MKATABA WA UJENZI WA SOKO LA KISASA

    January 22, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA KWA KISHINDO TAARIFA ZA HESABU ZA MWISHO ZA MWAKA WA FEDHA 2023/2024.

    September 24, 2024
  • MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BIL 8.1 WILAYANI MULEBA YATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU,2024.

    September 29, 2024
  • MWENGE WA UHURU MKOA WA KAGERA 2024 WAHITIMISHA MBIO ZAKE KATIKA HALAMASHAURI YA MULEBA

    September 30, 2024
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu:

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa