1. Lazima uwe namba ya mlipa kodi (Tin Number) na Tax clearence
2. Kujaza fomu ya maombi na kupeleka ofisi ya biashara kwa ajili ya ukaguzi
3. Kuwasilisha fomu zilizojazwa tayari katika ofisi za biashara
4. Usajili wa biashara inayoombwa utafanywa kwenye mfumo wa LGRCIS
5. Itatengenezwa invoice kwa ajili ya kwenda kulipa benki
6. Hatua ya mwisho ni kupewa leseni ya biashara
 
                              
                              
                            Kagabiro
Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera
Simu: +255 (28) 222-4013
Simu:
Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz
Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa